Jjcamillus (@jjcamillus) 's Twitter Profile
Jjcamillus

@jjcamillus

ID: 1416224108661071873

calendar_today17-07-2021 02:32:16

1,1K Tweet

147 Followers

1,1K Following

Dr John Magufuli (@magufulijp) 's Twitter Profile Photo

Naitwa John Pombe Joseph Magufuli, mgombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ewe Mtanzania mwenzangu, naomba kura yako ya ndio tarehe 28/10/2020. Chagua Magufuli kwa maendeleo ya kweli ili tuendelee kujenga Tanzania mpya. Asante.

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Watu wananunua watu. Watu hawanunui kwa sababu wanaokuonea huruma. Wape sababu ya kununua. Ili kufanikiwa hakikisha: 1. Wanakujua 2. Wanakupenda 3. Wanakuamini Content zako zitakusaidia kuweza ku-achieve haya 3. Komaa.

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Usipokee kizembe zembe ushauri wa watu hasa hapa Twitter. Wengi humu ni wajanja online ila in real life ni mazoba na wagai-gai Wengine wamezaliwa 2004 na wapo ambao wamesoma UDOM, CBE, IFM na Teofilo Kisanji😅

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

-Umefulia Apache alolo -Huna ajira -Unaishi gizani km kunguni -Unakunywa maji ya bomba -Unashindia mihogo -Huna bima ya afya -Unaishi uchochoroni -Huna connection -Unaogea sabuni ya mche -Unatumia Infinix -Huna elimu ya UDSM Nini kinakupa jeuri ya kukesha night club?JITATHMINI

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Nina uhakika kwa asilimia 99% kuwa watu wengi wanajua tafsiri ya "Money Laundering" ni "Utakatishaji wa Fedha" lakini kiuhalisia tafsiri sahihi ni "Utakasishaji wa Fedha" Fedha haramu inatakasishwa na sio kutakatishwa. ZINGATIA!

ZITATU (@max_zitatu) 's Twitter Profile Photo

Mama yako amekubena tumboni mwake miezi 9. Akakubadilisha nepi pale ulipojikojolea au kukata gogo na kukuogesha.. Haitoshi pamoja na saizi umeshakua mtu mzima, bado anakukumbuka kwenye maombi. Hii maana yake ni kwamba hakuna mwanamke anayeweza kukupenda kama Mama yako.

Seif Mselem (@seifjamal21) 's Twitter Profile Photo

Hivi Umewahi Kujiuliza Kwanini FAMILIA Nyingi watu wake Huwa Wanafanana In Terms of Mafanikio? Ukiachana na Sababu Zingine Moja ya Sababu Kubwa huwa ni kwamba WATOTO wengi Huwa Tunarudia Kile Walichofanya Wazee. Ukitaka Kubadili Hali ya Kwenu USIRUDIE Walichofanya Wazee wako!

Erick (@masculinitysato) 's Twitter Profile Photo

Men, Dating tip. Approach her and say, "My name is...... I find you attractive. Here is my phone number; call me." Then leave. Don't mind if she calls you or not.

Kabigwa_Afya💊 (@kabigwa_78) 's Twitter Profile Photo

Maji💦 -> Kwa Ajili ya Figo! Mayai 🥚-> Kwa Ajili ya Ubongo 🧠! Carrots🥕 -> Kwa Ajili ya Macho! Nanasi 🍍-> Kwa Ajili ya Koo! Cabbage 🥬 -> Kwa Ajili ya Utumbo! Tango 🥒 -> Kwa Ajili ya Ngozi! Tangawizi -> Kwa Ajili ya Koo na Mapafu! Parachichi & Nyanya 🥑 -> Kwa Ajili

Saumu Farms🧄 (@nalimasaumu) 's Twitter Profile Photo

Upendo Godfrey Ili brand ikue inahitaji uwekezaji kwenye - Public relations - Marketing - Delivery - Affordability Na pia ujue Price fixing Ili uendane na uchumi wa wateja

Moyo wa TAIFA ™️ (@bajabiri) 's Twitter Profile Photo

Sioni wafanyacho huko nje. Angalia Balozi wa China hapa Bongo alivyo active...hadi mkandarasi wa Kichina akijenga Choo anaposti. Ana brand kampuni za kichina.... #SiasaZetu