JAXiS (@jaxis__) 's Twitter Profile
JAXiS

@jaxis__

ID: 1092626584329220098

calendar_today05-02-2019 03:30:52

60,60K Tweet

4,4K Followers

5,5K Following

Fred Kavishe (@fredkavishe) 's Twitter Profile Photo

Mwaka Jana October katikati tuliingia biashara ya Logistics rasmi Tumeweza ajiri full time vijana watano Tumeweza safirisha containers zaidi ya 700(export na Import) Bado ni wachanga lakini mdo mdo tunasonga.

SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

Infrared Cooker (2000W, efficiency 85%) •Hutumia wastani wa 1600W (kwa sababu haitumii full power muda wote). •1600W × 0.67 saa = 1.07 kWh •Gharama: 1.07 × 350 Tsh (bei ya wastani ya Tanesco/kWh) ≈ 375 Tsh

SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

JAXiS …¡Samuelsn Maasai NGL. •Hutumia wastani wa 1600W (kwa sababu haitumii full power muda wote). •1600W × 0.67 saa = 1.07 kWh •Gharama: 1.07 × 350 Tsh (bei ya wastani ya Tanesco/kWh) ≈ 375 Tsh Bado ni cheap sababu haupiki siku nzima na ni zuri ukilitumia kama mbadala pia uzuri lina timer

JAXiS (@jaxis__) 's Twitter Profile Photo

watu wenyewe ndo haohao mnaocheka nao kwasababu mnajuana. ila mkija huku mitandaoni mnakuwa paka na panya? vita yenu inabaki kuwa ya maneno huku "ewe kijana taifa la kesho" akileta vita hiyohiyo ya maneno yanamkuta makubwa? hahhhh hapana.

JAXiS (@jaxis__) 's Twitter Profile Photo

hii ni sawa na kuniambia nimpende binti wa miaka 11 leo. binti ambae amezidiwa miaka miwili na mtoto wangu.? hahhh usenge huo.

JAXiS (@jaxis__) 's Twitter Profile Photo

Uzunguni ya 4ways hapo DFP imemgonga mtu imekimbia shootout kwa bi mkubwa wa harrier tako la nyani plate namba E, alikubali kumbeba ampeleke hospital ila raia wakachagua abebwe kwenye canter ili wasimchafulie bimkubwa Gari Jamaa alikuwa anavuka barabara kwa miguu