๐Ÿซฆ jacky-nyash๐Ÿ‘๐Ÿ‘ (@jacky__92) 's Twitter Profile
๐Ÿซฆ jacky-nyash๐Ÿ‘๐Ÿ‘

@jacky__92

Tamu Tamu๐Ÿซฆ๐Ÿ˜‹๐Ÿ‘ | fun of @YoungAfricansSC | @Arsenal

ID: 1402939840593858568

calendar_today10-06-2021 10:45:13

19,19K Tweet

7,7K Takipรงi

6,6K Takip Edilen

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Weka chuki pembeni, leo Arsenal wamepiga mpira kweli kweli na wamestahili kushinda hii game. Wape Retweet na Like iwe kama sehemu ya kuonesha Respect kwao.

Weka chuki pembeni, leo Arsenal wamepiga mpira kweli kweli na wamestahili kushinda hii game. Wape Retweet na Like iwe kama sehemu ya kuonesha Respect kwao.
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Wengi wameona maajabu ya Arsenal ya kuifunga Madrid Magoli Matano (5) tena home and away na kuindoa kwenye UEFA, lakini wachache wametambua Ubora wa Mikel Arteta kwenye kuisuka hii timu. Huyu mwamba ni kocha kweli kweli. Tumpe heshima yake kwa kuretweet mpaka ujumbe huu umfikie.

Wengi wameona maajabu ya Arsenal ya kuifunga Madrid Magoli Matano (5) tena home and away na kuindoa kwenye UEFA, lakini wachache wametambua Ubora wa Mikel Arteta kwenye kuisuka hii timu. Huyu mwamba ni kocha kweli kweli. Tumpe heshima yake kwa kuretweet mpaka ujumbe huu umfikie.
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Kusema kweli mimi naona kama niendelee tu umbea wangu na niachane na siasa kwa asilimia 100 maana hii issue ya Lissu kila nikiifatilia najikuta naumia tu nakosa hata mood ya kufanya chochote. Seriously naumia mnooo. . Naumia sio tu kwa ajili ya anachopitia Lissu ila naumia kwa

Kusema kweli mimi naona kama niendelee tu umbea wangu na niachane na siasa kwa asilimia 100 maana hii issue ya Lissu kila nikiifatilia najikuta naumia tu nakosa hata mood ya kufanya chochote. Seriously naumia mnooo.
.
Naumia sio tu kwa ajili ya anachopitia Lissu ila naumia kwa
KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

โ€œWAGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Ni Sawa Na Wagonjwa Wanaweza Kupona Muda Wowote Na Wakadai Vyaoโ€ โ€œWAKENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Ni Sawa Na Walio Lala Usingizi Muda Wowote Wanaweza Kuamka Na Kudai Chaoโ€ โ€œIla WATANZANIA๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Ni Sawa Na MAITI Hawawezi Kuamka Milele Kudai Chaoโ€ ~JOMO KENYATTA

โ€œWAGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Ni Sawa Na Wagonjwa Wanaweza Kupona Muda Wowote Na Wakadai Vyaoโ€

โ€œWAKENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Ni Sawa Na Walio Lala Usingizi Muda Wowote Wanaweza Kuamka Na Kudai Chaoโ€

โ€œIla WATANZANIA๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Ni Sawa Na MAITI Hawawezi Kuamka Milele Kudai Chaoโ€ 

~JOMO KENYATTA
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Haki vile tarehe inayofuata ya kesi ya Lissu kama wananchi hawatoenda Kisutu I think itโ€™s time kina Lissu waachane na Watanzania maana watauawa bure for nothing. Lissu na wanachadema 200 peke yao hawatoweza kuleta mabadiliko Tanzania. Ni lazma malaki ya wananchi wasimame nao ndio

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

SIKU INAKUJA NA HAIPO MBALI. TUTALIKOMBOA HILI TAIFA MIKONONI MWA WAKOLONI WEUSI. REPOST KWA IMANI. COMMENT BENDERA YA TANZANIA.๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

SIKU INAKUJA NA HAIPO MBALI. TUTALIKOMBOA HILI TAIFA MIKONONI MWA WAKOLONI WEUSI.

REPOST KWA IMANI.

COMMENT BENDERA YA TANZANIA.๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ