Morgan (@simonjoel495) 's Twitter Profile
Morgan

@simonjoel495

Why me

ID: 1584056111384199168

calendar_today23-10-2022 05:36:47

1,1K Tweet

176 Takipçi

358 Takip Edilen

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

MAMBO 10 YANAYOKUFANYA DHAIFU KILA SIKU ⚠️ 1. Kupenda kitonga / Uchawa 2. Kupiga punyeto. Kujinajisi. 3. Kuangalia picha za utupu. Kujinajisi. 4. Kula na kunywa hovyo hovyo. 5. Kulalamika. Ukilalamika. Umekubali kuwa mhanga. Komaa. 6. Kuishi kama ndege. Huna malengo, huna

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Watu wengi wamepoteza DIRA ya maisha, Mbaya zaidi hawajui shida inaanzia wapi 🧠 Leo nashare siri 7 zilizonisaidia kubadili maisha yangu... Baada ya kusoma barua hii utakuwa umejuwa wapi tatizo linaanzia na nini kifanyike! Bookmark na Repost! 1. Umuhimu wa kuwa na clarity.

Watu wengi wamepoteza DIRA ya maisha, 
Mbaya zaidi hawajui shida inaanzia wapi 🧠

Leo nashare siri 7 zilizonisaidia kubadili maisha yangu...

Baada ya kusoma barua hii utakuwa umejuwa wapi tatizo linaanzia na nini kifanyike!

Bookmark na Repost!

1. Umuhimu wa kuwa na clarity.
Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

KUMBUKA... 1. Mwanaume haongozwi na hisia 2. Mwanaume hahitaji kuonewa huruma 3. Huhitaji kujisikia kufanya jambo 4. Pesa ni thamani, tengeneza thamani 5. Kusudi na malengo ndio nguzo 6. Comfort zone imeua ndoto nyingi 7. Jenga nidhamu, usiishe kwa motivation 8. Akili ni

THE MESHA (@the_mesha24) 's Twitter Profile Photo

Watu wengi sio MASIKINI kwa sababu hawapati pesa Ni MASIKINI kwa sababu hawajui kuelekeza PESA zao wapi ziende Na hii ni moja sababu kubwa inayofanya masikini aendelee kuwa masikini zaidi. Soma zaidi 🧵

Watu  wengi sio MASIKINI kwa sababu hawapati  pesa

 Ni MASIKINI kwa sababu hawajui kuelekeza PESA zao wapi ziende

Na hii ni moja  sababu kubwa inayofanya masikini aendelee kuwa masikini zaidi.

Soma zaidi 🧵
Fitness Dad (@fitnessdadx) 's Twitter Profile Photo

5 Groin Exercises to Boost Blood Flow & Skyrocket Testosterone. 🍆 Every Man Needs This! Thread 👇 (For Educational Purposes Only) 💯

5 Groin Exercises to Boost Blood Flow & Skyrocket Testosterone. 🍆  Every Man Needs This! Thread 👇

 (For Educational Purposes Only) 💯
𝗣 𝗔 𝗕 𝗟 𝗢 🦁 (@kingpablotz) 's Twitter Profile Photo

Jamaa kauliza swali la msingi: "Biashara gani unaweza kuanzisha Dar kwa mtaji wa 6M na ikuletee faida ya 400K kwa mwezi?" Na haya hapa ndiyo majibu ya watu—kuna mengi ya kujifunza! 🔥 Check the thread 👇🏾🔥

Jamaa kauliza swali la msingi: "Biashara gani unaweza kuanzisha Dar kwa mtaji wa 6M na ikuletee faida ya 400K kwa mwezi?" Na haya hapa ndiyo majibu ya watu—kuna mengi ya kujifunza! 🔥

Check the thread 👇🏾🔥
Mr Health💊💉 (@mkunga_og) 's Twitter Profile Photo

SUNDAY... AFYA TIPS SHARE FOR EACH OTHER....🩺 Maziwa 🥛→ Hamu ya Tendo la ndoa, (Libido) Strobel 🍓 → Mmeng’enyo wa chakula (bowel health) Apple 🍎 → Kupunguza uzito (weight loss) Almonds & Karanga 🥜 → Testosterone. Vitunguu saumu 🧄 → Sumu mwilini (Detox) Maji💦 →

SUNDAY... AFYA TIPS  SHARE FOR EACH OTHER....🩺

Maziwa 🥛→ Hamu ya Tendo la ndoa, (Libido)

Strobel 🍓 → Mmeng’enyo wa chakula (bowel health)

Apple 🍎 → Kupunguza uzito (weight loss)

Almonds & Karanga 🥜 → Testosterone.

Vitunguu saumu 🧄 → Sumu mwilini (Detox)

Maji💦 →
Genious✍️ (@chibelube) 's Twitter Profile Photo

Ukweli ni kwamba kila mtu yuko busy na maisha yake yuko busy na shida zake, Ukiona mtu anafanya juhudi ili utabasamu. Ukishindwa kumshukuru Basi Umsimuoneshe Dharau.

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Crystal Palace wamebaba kombe lao la kwanza katika historia ya miaka 119 ya timu yao. Palace wamewafunga Man City kwenye fainali ya FA na wamejikatia tiketi ya kucheza Europa msimu ujao. Hili ni fundisho tosha kuwa haijalishi umechelewa kiasi gani, mambo mazuri bado yanaweza kuja

Crystal Palace wamebaba kombe lao la kwanza katika historia ya miaka 119 ya timu yao. Palace wamewafunga Man City kwenye fainali ya FA na wamejikatia tiketi ya kucheza Europa msimu ujao. Hili ni fundisho tosha kuwa haijalishi umechelewa kiasi gani, mambo mazuri bado yanaweza kuja
Kabigwa_Afya💊 (@kabigwa_78) 's Twitter Profile Photo

Mwezi Huu August, 1. Kunywa Maji Mengi, 1-2 Litres kila siku! 2. Fanya Mazoezi ya Kutosha! 3. Kula Vizuri, Vaa Vizuri, Nukia. 4. Usijipe Umuhimu Kwenye Maisha ya Watu! RUDIA. Mungu Abariki Kazi za Mikono Yetu na Huu Mwezi. Good Morning 𝕏