Joel Ntile (@joelntile) 's Twitter Profile
Joel Ntile

@joelntile

Repost โ‰  Endorsement

ID: 795348990

calendar_today01-09-2012 04:58:54

21,21K Tweet

1,1K Takipรงi

551 Takip Edilen

#BRINGBACKDANIELCHONCHORIO (@manaal_ms) 's Twitter Profile Photo

Today marks 6 months since Daniel went missing under mysterious circumstances. Ya Rab, we place him in Your hands. Protect him, strengthen him wherever he is, and in Your mercy, bring him back home to us safely. Ameen๐Ÿคฒ๐Ÿป๐Ÿคฒ๐Ÿป

Today marks 6 months since Daniel went missing under mysterious circumstances. Ya Rab, we place him in Your hands. Protect him, strengthen him wherever he is, and in Your mercy, bring him back home to us safely. Ameen๐Ÿคฒ๐Ÿป๐Ÿคฒ๐Ÿป
Maviatu ๐Ÿ‘ž๐Ÿ‘Ÿ๐Ÿฅพ๐Ÿ›๏ธ๐Ÿ›’ (@barakamaviatu) 's Twitter Profile Photo

Enock Kiswaga Dunia ilipo vitu vinapinduliwa online. Serikali haina Influencers serious wanaoweza badili upepo siku wanaomiliki hizi algorithms wakiamua lao. Hata ukitaka kupush utalii au agenda ya nchi haina watu serious wa kuitumikia nchi, na kupush influence. Tuache mzaha.

Joel Ntile (@joelntile) 's Twitter Profile Photo

Sasa kaka ukienda kwenye kibarua cha kuchanganya zege na mtoto si utaambiwa unafanya unyanyasaji/ ukatili kwa mtoto? ๐Ÿ˜‚

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Yule Jamaa mwenye PhD ya mchongo kaokota tena U profesa ๐Ÿ™Œ๐Ÿผ Congratulations my Brother Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Moja wa Wanataaluma wasio na Majivuno, kama mpwa tuu haha. We are proud ๐Ÿ‘๐Ÿผ๐Ÿ‘๐Ÿผ๐Ÿ‘๐Ÿผ

Yule Jamaa mwenye PhD ya mchongo kaokota tena U profesa ๐Ÿ™Œ๐Ÿผ
Congratulations my Brother <a href="/k_mjege/">Mjege Kinyota, PhD ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ</a> 
Moja wa Wanataaluma wasio na Majivuno, kama mpwa tuu haha.
We are proud ๐Ÿ‘๐Ÿผ๐Ÿ‘๐Ÿผ๐Ÿ‘๐Ÿผ
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa, amekosoa tamko la Chama cha Mawakili wa Serikali (PBA) lililopinga uamuzi wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kuwataka wanachama wake kuandamana nchi nzima kulaani

philip lewis (@phil_lewis_) 's Twitter Profile Photo

"Hundreds of federal employees who lost their jobs in Elon Muskโ€™s cost-cutting blitz are being asked to return to work" apnews.com/article/doge-mโ€ฆ

The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

Miaka 33 ya mfumo wa vyama vingi imepita. Lakini je, wananchi wanapata nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka na wanaowawakilisha ipasavyo? Na je, maisha yao yameboreshwa? Karibu tujadili haya maswali muhimu katika Twitter Spaces: ๐Ÿ“… Alhamisi, 25 Septemba 2025 ๐Ÿ•• Saa 12:00

Miaka 33 ya mfumo wa vyama vingi imepita.

Lakini je, wananchi wanapata nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka na wanaowawakilisha ipasavyo?

Na je, maisha yao yameboreshwa?

Karibu tujadili haya maswali muhimu katika Twitter Spaces:

๐Ÿ“… Alhamisi, 25 Septemba 2025
๐Ÿ•• Saa 12:00
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Baada ya miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi, je, wananchi wanahisi kweli wana nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka? Au bado vyama vinawabana kwa tiketi, makundi na uamuzi wa juu juu? Ungana nasi leo x.com/i/spaces/1Mnxnโ€ฆ #DemokrasiaYetu Twaweza - ni sisi The Chanzo

Baada ya miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi, je, wananchi wanahisi kweli wana nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka? 
Au bado vyama vinawabana kwa tiketi, makundi na uamuzi wa juu juu?
Ungana nasi leo
x.com/i/spaces/1Mnxnโ€ฆ
#DemokrasiaYetu 
<a href="/Twaweza_NiSisi/">Twaweza - ni sisi</a> <a href="/TheChanzo/">The Chanzo</a>
The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

Mahinyila: 'Nilishangaa navamiwa na watu, wananiambia huruhusiwi kuwepo hapa' Mahojiano kamili youtu.be/vhNY684gvUA?siโ€ฆ

Suji Rainmakers (@semkae) 's Twitter Profile Photo

A Scania manufacturing or assembly plant in Kibaha is not currently operational. However, the Tanzania Automobile Manufacturers (TAMCO) plant in Kibaha was the initial assembler of Scania vehicles when they were first introduced to Tanzania in the 1970s. #DeadTZIndustries

A Scania manufacturing or assembly plant in Kibaha is not currently operational. However, the Tanzania Automobile Manufacturers (TAMCO) plant in Kibaha was the initial assembler of Scania vehicles when they were first introduced to Tanzania in the 1970s. 
#DeadTZIndustries