Daniel Miundo (@dmiundo) 's Twitter Profile
Daniel Miundo

@dmiundo

Graphics

ID: 1446532045128220683

calendar_today08-10-2021 17:45:27

994 Tweet

701 Takipçi

1,1K Takip Edilen

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

Duka Lao “JERSEY CITY” Lipo Floor Ya Juu Mwishoni Kabisa, Wakati Jengo Linaanguka Dogo Alikua Anakimbia Kutoka Nje Hakufika Nje Jengo Zima Likamporomokea. Leo Naambiwa KAFARIKI Nilikua Mteja Wao Sana. Mwenyezi Mungu Akulaze Pahala Unapostahili Mdogo Wangu. Mbele Yetu Nyuma Yako

Duka Lao “JERSEY CITY” Lipo Floor Ya Juu Mwishoni Kabisa, Wakati Jengo Linaanguka Dogo Alikua Anakimbia Kutoka Nje Hakufika Nje Jengo Zima Likamporomokea. Leo Naambiwa KAFARIKI Nilikua Mteja Wao Sana. Mwenyezi Mungu Akulaze Pahala Unapostahili Mdogo Wangu. Mbele Yetu Nyuma Yako
Jessie J🌺 (@mrs_pappi) 's Twitter Profile Photo

VIWANJA BAGAMOYO MJINI 1Sqm -15,000 Cash (unalipa miezi mitatu) 1Sqm -18000 kwa Mkopo (miezi 20 bila riba) Hati Bure 405,000- 450SQM 450,000-500SQM 630,000-700SQM BAGAMOYO MAKURUNGE 206,500 - 413 SQM 173,000 -340SQM 225,000-450SQM 0745124138 Tuko Makumbusho Mwanga Tower PlzRT

VIWANJA BAGAMOYO MJINI

1Sqm -15,000 Cash (unalipa miezi mitatu)
1Sqm -18000 kwa Mkopo (miezi 20 bila riba)
Hati Bure
405,000- 450SQM
450,000-500SQM
630,000-700SQM

BAGAMOYO MAKURUNGE
206,500 - 413 SQM
173,000 -340SQM
225,000-450SQM
0745124138
Tuko Makumbusho Mwanga Tower
PlzRT
Mchoma bando_ (@mwanalizombetz) 's Twitter Profile Photo

"For I know the plans I have for you,” declares the LORD, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." -Jeremiah 29:11 ❤️🙏🏿

"For I know the plans I have for you,” declares the LORD, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future."
  
                        -Jeremiah 29:11 ❤️🙏🏿
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸 (@mr_pikipiki) 's Twitter Profile Photo

TVS STAR 125 "DJS" 🔥🔥🔥 "Benito Musolini" Unaipata kwa 1,450,000/= Tu 😋 Tairi zote Mpyaaa sana ✅| Injini bomba ✅|Full Documents ✅ Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096☎️ Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: Ukiweza kutawala hasira na Aibu unakuwa mtu mwingine kabisa 🔥📌

TVS STAR 125 "DJS" 🔥🔥🔥 "Benito Musolini" Unaipata kwa 1,450,000/= Tu 😋

Tairi zote Mpyaaa sana ✅|  Injini bomba ✅|Full Documents ✅

Ipo Ubungo Riverside 📍
0747365096☎️
Mikoani Tunatuma 🇹🇿

NB: Ukiweza kutawala hasira na Aibu unakuwa mtu mwingine kabisa 🔥📌
Sylor (@beki_mfungaji) 's Twitter Profile Photo

Mguu wa kutoka 🔥🔥 Size 37 - 42 Bei 55,000/= Wanawake na wanaume ✅ WhatsApp au piga simu 0682946668 Tunapatikana Dar Tunafanya delivery Tunatuma mikoa yote

Mguu wa kutoka 🔥🔥
Size 37 - 42
Bei 55,000/=
Wanawake na wanaume ✅
WhatsApp au piga simu 0682946668
Tunapatikana Dar 
Tunafanya delivery 
Tunatuma mikoa yote
TRUST ME BRO (@mwenyekit_i) 's Twitter Profile Photo

Miili tunailinda na kucheza nayo miaka mingi ili ije kuharibika ndani ya week moja tu tukifa; Binadamu kakitu kadogo sana basi tu.

Joh cabinet (@joh_cabinet) 's Twitter Profile Photo

Kuna mambo hayapo sawa kwanini wachezaji baada ya mechi kuisha watawanyike kama wanafunzi mchezaji mechi imeisha kwenye boda boda tena Public Kijeruhiwa? Nani wa kulaumiwa uongozi? Au nani kwani basi la timu lipo wapi Timu imekuwaje asee?

Futbal Planet ✴️ (@planetfutbal) 's Twitter Profile Photo

⏳ KAULI TATA ZILIZOWAHI KUTOLEWA NA MECK MAXIME. THREAD. . 🧵Kocha wa Mpira,Mecky Maxime anachukuliwa kama ndiye Kocha mwenye majibu ya kutatanisha zaidi kuwahi kutokea Kwenye ardhi ya Tanzania. . Hapa nimekuwekea baadhi ya KAULI ZAKE TATA alizowahi kuzitoa na zikawa gumzo 😂👇

⏳ KAULI TATA ZILIZOWAHI KUTOLEWA NA MECK MAXIME. THREAD.
.
🧵Kocha wa Mpira,Mecky Maxime anachukuliwa kama ndiye Kocha mwenye majibu ya kutatanisha zaidi kuwahi kutokea Kwenye ardhi ya Tanzania.
.
Hapa nimekuwekea baadhi ya KAULI ZAKE TATA alizowahi kuzitoa na zikawa gumzo 😂👇