Adamu Twaibu Lugimbana (@alugimbana) 's Twitter Profile
Adamu Twaibu Lugimbana

@alugimbana

ID: 1108992206

calendar_today21-01-2013 13:07:35

2,2K Tweet

77 Takipçi

279 Takip Edilen

Msemaji Mkuu wa Serikali (@tzmsemajimkuu) 's Twitter Profile Photo

Utoaji wa Pasipoti, Vibali vya Ukaazi, Visa, udhibiti na usimamizi wa mipaka kwa njia ya kielektroniki umeimarika sana, lakini bado mnayo kazi ya kuendelea kubuni mbinu mbalimbali zitakazosaidia kuboresha utendaji wenu - Mhe. Rais Samia Suluhu

INFINOX Partners (@ixpartners) 's Twitter Profile Photo

Are you an IB or Affiliate? Do you have a large following? Switch your business to IX Partners today. - 50 million USD paid to partners - 5 million lots traded - 100,000+ partner referrals Switch today bit.ly/3dt3p9Z 💥

People's Daily, China (@pdchina) 's Twitter Profile Photo

Israel and Turkey have decided to restore full diplomatic ties and will return ambassadors to each other's country, Israeli Prime Minister Yair Lapid said on Wednesday.

Israel and Turkey have decided to restore full diplomatic ties and will return ambassadors to each other's country, Israeli Prime Minister Yair Lapid said on Wednesday.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine katika ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar tarehe 04 Oktoba, 2022. zuhura yunus

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine katika ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar tarehe 04 Oktoba, 2022. <a href="/venusnyota/">zuhura yunus</a>
INFINOX Global (@infinoxglobal) 's Twitter Profile Photo

Want to see Messi, Ronaldo, Neymar, and Mbappe live? Join INFINOX to: - Win 2 tickets to the World cup (flights and luxurious hotel included!) - Learn great trading strategies REGISTER NOW bit.ly/3Ej10tW All trading carries risk.

NIDA Tanzania (@nida_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA) imefanikiwa kuanzisha Usajili kupitia Mtandao (Online Registration) hivyo kuwezesha wananchi kujisajili wao wenyewe kupitia mtandao popote walipo ndani na nje ya nchi hivyo kuipunguzia gharama Serikali na kupunguza foleni katika ofisi zetu.

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA) imefanikiwa kuanzisha Usajili kupitia Mtandao (Online Registration) hivyo kuwezesha wananchi kujisajili wao wenyewe kupitia mtandao popote walipo ndani na nje ya nchi hivyo kuipunguzia gharama Serikali na kupunguza foleni katika ofisi zetu.
NIDA Tanzania (@nida_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Alavuya Ntalima wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ofisi ya Mbeya, ameiwezesha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuibuka kidedea baada ya Alavuya kuibuka na ushindi wa kwanza kwenye mbio za Baiskeli, kwa wanawake kwenye mashindano ya Mei Mosi Taifa yanayoendelea Mkoani Morogoro

Alavuya Ntalima wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ofisi ya Mbeya, ameiwezesha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuibuka kidedea baada ya Alavuya kuibuka na ushindi wa kwanza kwenye mbio za Baiskeli,  kwa wanawake kwenye mashindano ya Mei Mosi Taifa yanayoendelea Mkoani Morogoro
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuzindua ugawaji wa Gari la OCD Kizimkazi Mkunguni pamoja na Gari la OCD Makunduchi tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuzindua ugawaji wa Gari la OCD Kizimkazi Mkunguni pamoja na Gari la OCD Makunduchi tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi
NIDA Tanzania (@nida_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Adamu Twaibu Lugimbana Habari, Unaweza kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua kwa kupiga simu 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 au kwa kufika kwenye Ofisi ya NIDA katika wilaya ulikosajiliwa. Asante.

CRDB Bank PLC (@crdbbankplc) 's Twitter Profile Photo

Benki ya CRDB leo imekabidhi vifaa vya michezo kwa Kamati ya Amani jijini Arusha kwa ajili ya mechi ya mpira wa miguu ambayo inatarajiwa kuchezwa hapo kesho katika uwanja wa Sheikh Amri Abedi jijini Arusha. Mechi hiyo ya utangulizi itachezwa katika fainali za mashindano ya

Benki ya CRDB leo imekabidhi vifaa vya michezo kwa Kamati ya Amani jijini Arusha kwa ajili ya mechi ya mpira wa miguu ambayo inatarajiwa kuchezwa hapo kesho katika uwanja wa Sheikh Amri Abedi jijini Arusha.

Mechi hiyo ya utangulizi  itachezwa katika fainali za mashindano ya