ᴍᴀᴜʀᴀx ɢᴀᴅɢᴇᴛꜱ 📲 (@_maurvx) 's Twitter Profile
ᴍᴀᴜʀᴀx ɢᴀᴅɢᴇᴛꜱ 📲

@_maurvx

ᴍᴜᴜᴢᴀᴊɪ ᴡᴀᴋᴏ ʙᴏʀᴀ ᴡᴀ ꜱɪᴍᴜ 📱 | ᴍᴏᴅᴇʟɪ ᴍᴘʏᴀ ɴᴀ ᴜꜱᴇᴅ ᴋᴜᴛᴏᴋᴀ ᴅᴜʙᴀɪ ɴᴀ ᴜᴋ ᴋᴡᴀ ʙᴇɪ ʀᴀʜɪꜱɪ ᴋᴀʙɪꜱᴀ| ɴɪɴᴀᴋᴜꜱᴀɪᴅɪᴀ ᴋᴜᴘᴀᴛᴀ ꜱɪᴍᴜ ɪɴᴀʏᴏᴋᴜꜰᴀᴀ | ᴅᴍ ᴋᴡᴀ ᴍᴀꜱᴡᴀʟɪ ɴᴀ ᴏꜰᴀ! 🔥

ID: 1326537361795112961

linkhttp://wa.me/255782412968 calendar_today11-11-2020 14:49:10

8,8K Tweet

2,2K Takipçi

2,2K Takip Edilen

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

UKIONA HII REPOST "Nimetoka kuongea na Ofsa Kiduku hapa kwa urefu kidogo. Kwanza mwana anashukuru sana kwa Love Mliyoonyesha kwa kupaza Sauti, lakini pia kasema niwaambie kuhusu Afya yuko sawa na amedai kuna watu walikuwa wanaendelea ku show Love mpaka huko kituoni mwana

UKIONA HII REPOST

"Nimetoka kuongea na Ofsa Kiduku hapa kwa urefu kidogo.

Kwanza mwana anashukuru sana kwa Love Mliyoonyesha kwa kupaza Sauti, lakini pia kasema niwaambie kuhusu Afya yuko sawa na amedai kuna watu walikuwa wanaendelea ku show Love mpaka huko kituoni mwana
Umutavu Dash TV (@umutavudashtv) 's Twitter Profile Photo

Tanzania Captain John Charles Tesha of Tanzanian air force has gone viral with his video demanding change in Tanzania He says the President has no vision for the country and it’s up to the citizens to take action especially Gen Z’s.

Kijana ‘ya’ Kabras (@kijanayakabras) 's Twitter Profile Photo

Kenyan youth are ready to support Tanzanians on October 29th, just like they did during the CHAN tournament, where they went ahead and purchased tickets to fill the stadium in support😁

Kenyan youth are ready to support Tanzanians on October 29th, just like they did during the CHAN tournament, where they went ahead and purchased tickets to fill the stadium in support😁
ᴍᴀᴜʀᴀx ɢᴀᴅɢᴇᴛꜱ 📲 (@_maurvx) 's Twitter Profile Photo

MR BEN “Waliokutafuta ndio real circle yako,” but have you ever checked on those who didn’t? 🤷🏽‍♂️ You never know what they’re going through maybe they’re just surviving life in silence. Stop blaming people jamani, everyone is fighting their own battles differently. 💭

Shakur Faith (@shaks_prince) 's Twitter Profile Photo

MTANZANIA mdogo miaka 14-17 alipigwa shaba moja ya kiuno na kutokea tumboni pale Mianzini. Alimwaga damu nyingi mno, na alikuwa analia sana. Hakukuwa na la kufanya zaidi ya kumdanganya kuwa atakuwa sawa Nakumbuka macho yake, sura yake na nuru yake ilivyokuwa inakata. Aliniambia

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

From a friend:👇🏽 “Kuna vibaka walivamia jirani Kinyerezi. Kuna police (mstafuu) akatoa taarifa police. Police wakaja. Vibaka walivyosikia gari wakasepa. Sasa majirani wakatoka wawasimilie police. Police wakaamuru walale chini. Wakawapiga watu wote 8 risasi wakafa.”😭😭😭

Malkia Nyuki 👑 (@nyuki_malkia) 's Twitter Profile Photo

Goodmorning! Jitahidi sana mapambano yako yasiharibu juhudi za wenzako,ni dhambi na ipo siku utahukumiwa kwa malipo hapa hapa duniani

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Sikilizeni hii acccount. Watu wengi walioketa ripoti za watu kuuliwa wakiwa majumbani au bila kuhusika wameripoti kuwa askari waliofanya hayo matendo walikuwa na lafudhi ya kizanzibary. Hata upande wa jeshi wameripoti wanajeshi waliofanya ukatili walikuwa na lafudhi ya

Blessed Trice✝️🙏 (@trice_blessed) 's Twitter Profile Photo

Kuna post au comment za watu wakiziona unabaki na maswali huyu ni mtu au shetani😥💔wacha tuishi ila tukumbuke tu wakati wa Mungu ndo wakati sahihi na haupo mbali tutawakumbusha🤝

ᴍᴀᴜʀᴀx ɢᴀᴅɢᴇᴛꜱ 📲 (@_maurvx) 's Twitter Profile Photo

📞 wa.me/255782412968 📍Ndanda & Agrey Street, Kariakoo iphone XR 64GB🔋100% Face id & True tone✅ Bei 430,000/=Tsh (simu clean aina message yeyote boss) ɢᴜꜱᴀ ʟɪɴᴋ ᴋᴜᴊɪᴜɴɢᴀ ɴᴀ ɢʀᴏᴜᴘ ʟᴇᴛᴜ Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/BxHytWaaW3t9Yw…

📞 wa.me/255782412968
📍Ndanda & Agrey Street, Kariakoo

iphone XR
64GB🔋100%
Face id & True tone✅

Bei 430,000/=Tsh
(simu clean aina message yeyote boss)

ɢᴜꜱᴀ ʟɪɴᴋ ᴋᴜᴊɪᴜɴɢᴀ ɴᴀ ɢʀᴏᴜᴘ ʟᴇᴛᴜ 
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/BxHytWaaW3t9Yw…