kipingu-jr (@issasrkipingu) 's Twitter Profile
kipingu-jr

@issasrkipingu

football fans @Simbasc@Arsenal

ID: 2372796455

calendar_today01-03-2014 09:17:34

11,11K Tweet

1,1K Followers

1,1K Following

SIASA SAFI (Nyegere Wa Afrika/Honey badger) (@ikindakani11826) 's Twitter Profile Photo

Operation ya #Unfollow wasanii machawa wote ianze mara moja kwenye mitandao ya kijamii. Ingia kwenye akaunti yake unfollow. Mwambie rafiki yako, mama, baba, shangazi, mjukuu, mkeo, mmeo n.k #NoReformsNoElection #Repost1000🙏🙏

Operation ya #Unfollow wasanii machawa wote ianze mara moja kwenye mitandao ya kijamii.
Ingia kwenye akaunti yake unfollow.
Mwambie rafiki yako, mama, baba, shangazi, mjukuu, mkeo, mmeo n.k
#NoReformsNoElection 
#Repost1000🙏🙏
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Anzia huku X , Facebook , Insta , Tik Tok. Usiwape Heshima Watu Wanao Tumia Wingi Wenu Kuumiza Nchi Nzuri. Nasema Hivi , Unfollow CHAWA WOTE. Wajameni , Mnaweza Kushindwa Maandamano Ya Aina Hii Kweli ? Operation Futa Chawa - OFUCHA . Twendeni Wapiganaji- OFUCHA

Anzia huku X , Facebook , Insta , Tik Tok. Usiwape Heshima Watu Wanao Tumia Wingi Wenu Kuumiza Nchi Nzuri. Nasema Hivi , Unfollow CHAWA WOTE. Wajameni , Mnaweza Kushindwa Maandamano Ya Aina Hii Kweli ? Operation Futa Chawa - OFUCHA . Twendeni Wapiganaji- OFUCHA
CHURA WA GOLIGOTHA MKALI PAPARAZZI (@maestrowafact) 's Twitter Profile Photo

Enyi Machawa na mnaojipendekeza kwa maslahi binafsi nabii nawambia nyakati hizi sio , simameni muhesabiwe. Ni heri mkae kimya kuliko kuropoka kuwaridhisha wachache wanaowatesa watanzania, nyakati zinakuja mtahukumiwa kwa matendo yenu na mtajuta kwa nini mlifanya mnayofanya sasa.

𝐔𝐃-𝐁𝐎𝐘 (@udsm_finest) 's Twitter Profile Photo

Aliondoka kijijini bila hata nauli ya basi, akarudi na Range Rover mpya, saa ya dhahabu mkononi, na msururu wa walinzi waliomfungulia mlango. James Mwakanyeta—kijana wa kawaida kutoka Chimala, Mbarali—alitoka kwenye maisha ya kuuza chipsi stendi ya Rujewa hadi kuwa bilionea wa

Aliondoka kijijini bila hata nauli ya basi, akarudi na Range Rover mpya, saa ya dhahabu mkononi, na msururu wa walinzi waliomfungulia mlango.

James Mwakanyeta—kijana wa kawaida kutoka Chimala, Mbarali—alitoka kwenye maisha ya kuuza chipsi stendi ya Rujewa hadi kuwa bilionea wa
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Imechukua siku 2 kuchunguza kifo cha raia akiwa polisi KE — ripoti iko public. Iko wapi ripoti ya mauaji ya Mzee Ali Kibao? Yuko wapi Mdude? Wako wapi Soka na wenzake? Yuko wapi Chaula? Yuko wapi Chonchorio? Yuko wapi Kipanya? Tusitaniane - #NoReformsNoElection

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika iliiamuru TZ 🇹🇿 kuruhusu wagombe binafsi ktk chaguzi. Serikali ya TZ imegoma kutii amri ya mahakama, hivyo kunyima watu uhuru wa kugombea, hadi wawe ktk vyama. Tunataka amri hii ifanyiwe kazi. #NoReformsNoElection

Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika iliiamuru TZ 🇹🇿 kuruhusu wagombe binafsi ktk chaguzi.

Serikali ya TZ imegoma kutii amri ya mahakama, hivyo kunyima watu uhuru wa kugombea, hadi wawe ktk vyama. 

Tunataka amri hii ifanyiwe kazi. 

#NoReformsNoElection
Katego ladslaus (@kategoladslaus3) 's Twitter Profile Photo

Tito Magoti Dawa Ya Kuondolewa Kwa Jeuri Za Watawala Dhidi Ya Uvunjwaji Wa Hiki Za Msingi Za Raia Ni Kuendelea Kudai Reform's Za Tume Huru Ya Uchaguzi Ii Tupao Viongozi Watakao Leta Mchakato Wa Kuipata Katiba Mpya,Ili Tuwe Na Taifa Lenye Kuzingatia Utawala Wa Sheria..

Dr. Mishy🇲🇫 (@sharonmontana20) 's Twitter Profile Photo

Kwanini Mnapenda Kusema "Watu wanalazimisha muwe kwenye movements za #NoReformsNoElection ? Nani aliwahi lazimisha mtu?Y mnajipa umhimu? Watu kama wasanii, mtu ambaye ni Kioo cha Jamii Huyo lazima tumuandame ila wewe na bando lako la Buku usijipe umhimu hakuna anaye kulazimisha

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Tunaanza Maandamano kuelekea Bungeni. Tuma emails:👇 Katibu wa Bunge: [email protected] Spika: [email protected] Waambie tunataka haki ktk chaguzi. Tunataka kuishi salama ktk Taifa letu. #NoReformsNoElection

Tunaanza Maandamano kuelekea Bungeni.

Tuma emails:👇

Katibu wa Bunge: cna@bunge.go.tz

Spika: t.ackson@bunge.go.tz 

Waambie tunataka haki ktk chaguzi.

Tunataka kuishi salama ktk Taifa letu.

#NoReformsNoElection
Joseph Mrungu (@mrunguj9) 's Twitter Profile Photo

Kwenye maisha ya binadamu kuna changamoto kubwa nyingi tu huwa zinatukabili lakini kwa changamoto za mtu mwenye ulemavu changamoto kubwa huwa ni mguu wake wa kutembelea kama ilivyo kwangu. Ombi langu kwa watu twitter (X) munaweza kunisaidia nikapata taili mpy za Wilichea yangu.

Kwenye maisha ya binadamu kuna changamoto kubwa nyingi tu huwa zinatukabili lakini kwa changamoto za mtu mwenye ulemavu changamoto kubwa huwa ni mguu wake wa kutembelea kama ilivyo kwangu. Ombi langu kwa watu twitter (X) munaweza kunisaidia nikapata taili mpy za Wilichea yangu.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

#BreakingNews‌ Habari mbaya na zakutisha mama wa mwanaharakati na mwanachama wetu JAPHET MATARRA amenipigia muda huu nakunimbia MATARA usiku wa kuamkia leo alivamiwa na watu wasio julikana akiwa anarudi nyumbani kaumizwa vibaya sana wamemvunja taya kusimama wala kuongea hawezi.

#BreakingNews‌ 

Habari mbaya na zakutisha mama wa mwanaharakati na mwanachama wetu <a href="/Eng_Matarra/">JAPHET MATARRA</a> amenipigia muda huu nakunimbia MATARA usiku wa kuamkia leo alivamiwa na watu wasio julikana akiwa anarudi nyumbani kaumizwa vibaya sana wamemvunja taya kusimama wala kuongea hawezi.
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Jana ilikua CHATS za Group la LEO PUB JIJINI MWANZA… Leo ni zamu ya kuleta LEAKED VIDEOS! Nipo mwishoni mwishoni Na EDIT VIDEOS ili alie record asifahamike! yaani mnajua tu Kurecord videos ni through Phones Only😂😅😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽 HAYA…