
Ilemela Manispaa
@ilemelamc
ID: 885746530350751745
14-07-2017 06:23:23
2,2K Tweet
3,3K Takipçi
251 Takip Edilen









Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowasili kiwanja cha ndege cha Mwanza kilichopo Wilaya ya Ilemela siku ya Jumapili tarehe 15 Juni 2025 akiwa njiani kuelekea Bariadi Mkoani Simiyu kwa ajili ya ziara ya Kikazi mkoani humo. 📸 picha na ikulu Mawasiliano Samia Suluhu







