Hseebabili (@hseebabili) 's Twitter Profile
Hseebabili

@hseebabili

Ok

ID: 1491349435644841989

calendar_today09-02-2022 09:53:34

12,12K Tweet

4,4K Takipçi

5,5K Takip Edilen

Hseebabili (@hseebabili) 's Twitter Profile Photo

Sio kweli Kiswahili si lugha changa ila inachakabiliwa na ushindani na watumiaji kutokuwa na nguvu za kiuchumi Africa hatuna elim inayotokana na waafrica wenyewe hili ni tatizo kwa Africa

Hseebabili (@hseebabili) 's Twitter Profile Photo

Dhumuni la vyama vya siasa sio mafanikio ni kupata ridhaa za wananchi Ktk kusimamia mali asili za taifa, Suala la mafanikio ni mchanganyiko wa vitu vingi brother

Hseebabili (@hseebabili) 's Twitter Profile Photo

Inawezekana kaka Ila kwa tafsir ya katiba chama cha siasa ni njia ya kikatiba kutafuta ridhaa ya kuwa kwenye maamuzi ya mali asili za taifa Ila bado kuna uwezokano kuwa vyama hivi ni magenge ya watu wasio na nia njema ya umma