MsumenoMkali15🇹🇿.
@hilujuma1
ID: 1589523212416737280
07-11-2022 07:41:34
1,1K Tweet
1,1K Takipçi
3,3K Takip Edilen
Katika uhalisia wa kawaida hii habari Ina maslahi kuliko za Chadema Tanzania but angalia reactions za watu between posts za (mama, CCM na serikali) na za CDM.
Rais, Rais, Rais..Rais Rais Wanachama wa CHADEMA wakimshangilia Mh. Tundu Antiphas Lissu leo mara baada ya Mahakama kuu kuahirisha KESI hadi kesho jumanne tarehe 9/9/2025 saa nne asubuhi. #FREETUNDULISUNOW #NoJusticeNoPeace #NoReformsnoElection #StrongerTogether
Ohoooooo kumekucha tena na tabu iko pale pale, jamaa anarudi ulingoni very soon. Tumeshafika viunga vya mahakama kuu, hapa tupo tayari kumsubiri mtaalamu Tundu Antiphas Lissu aje kuwakamua zaidi.