Hemed Ally Mngwali (@hemedallytz) 's Twitter Profile
Hemed Ally Mngwali

@hemedallytz

BBT-YIA - WIZARA YA KILIMO

ID: 355513248

linkhttp://www.4umovement.com calendar_today15-08-2011 13:39:39

1,1K Tweet

1,1K Followers

631 Following

Hussein M Bashe (@husseinbashe) 's Twitter Profile Photo

Taarifa: Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia Tanzania dola milioni

Dira Ya Samia (@dirayasamia) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Rukwa baada ya ufunguzi wa utaanuzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Tawi la Rukwa. Upanuzi wa chuo hichi kimogharimu kiasi cha Shilingi Bilion 14.68. Samia Suluhu

Hussein M Bashe (@husseinbashe) 's Twitter Profile Photo

Ziara ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu inaendelea Mkoani Rukwa leo. Kilimo ndio shughuli kuu ya kiuchumi katika Mkoa wa Rukwa. Kwa miaka mingi Kilimo kimekuwa kikiwapatia wakazi wa Rukwa chakula cha kutosheleza mahitaji na kuwa na ziada ambayo huuzwa kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi

Ziara ya Mhe Rais Dkt <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> inaendelea Mkoani Rukwa leo. 

Kilimo ndio shughuli kuu ya kiuchumi katika Mkoa wa Rukwa. Kwa miaka mingi Kilimo kimekuwa kikiwapatia wakazi wa Rukwa chakula cha kutosheleza mahitaji na kuwa na ziada ambayo huuzwa kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi
Hussein M Bashe (@husseinbashe) 's Twitter Profile Photo

“Nimekuja Rukwa, bado malalamiko ya bei ya mahindi ni mengi. Nilikua nanong’ona na Waziri wa Kilimo, nikamuuliza kama tunaweza kwenda na bei ya 700, akaniambia Mama ngoja nikapige mahesabu Lakini pamoja na kupiga mahesabu, nakuagiza Waziri, nendeni na BEI YA 700. Na huo ndio

“Nimekuja Rukwa, bado malalamiko ya bei ya mahindi ni mengi. Nilikua nanong’ona  na Waziri wa Kilimo, nikamuuliza kama tunaweza kwenda na bei ya 700, akaniambia Mama ngoja nikapige mahesabu

Lakini pamoja na kupiga mahesabu, nakuagiza Waziri, nendeni na BEI YA 700.

Na huo ndio
Dira Ya Samia (@dirayasamia) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Kilimo Hussein M Bashe kuhakikisha bei ya ununuzi wa mahindi kuwa shilingi 700 Ameyasema hayo leo katika viwanja vya Mandela mkoani Rukwa. Akiagiza NFRA kununua mahindi kwa wakulima kwa bei

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Kilimo <a href="/HusseinBashe/">Hussein M Bashe</a> kuhakikisha bei ya ununuzi wa mahindi kuwa shilingi 700
Ameyasema hayo leo katika viwanja vya Mandela mkoani Rukwa. 

Akiagiza NFRA kununua mahindi kwa wakulima kwa bei
Dira Ya Samia (@dirayasamia) 's Twitter Profile Photo

“Epuka Kukata tamaa kwenye maisha, maisha yetu yamejaa mazuri, yamejaa mabaya. Yamejaa upendo na yamejaa chuki, lakini usikate tamaa, ni kujitahidi kuwa nataka nifike pale” - Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan #DiraYaSamia

Hussein M Bashe (@husseinbashe) 's Twitter Profile Photo

Leo nimepata nafasi ya kushiriki Kongamano la Wadau wa Umwagiliaji na mnyororo mzima wa Sekta ya Kilimo uliofanyika katika skimu ya umwagiliaji ya Mwamkulu, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi. Kuna miradi takribani 29 katika Mkoa wa Katavi, ikiwemo miradi mikubwa

Leo nimepata nafasi ya kushiriki Kongamano la Wadau wa Umwagiliaji na mnyororo mzima wa Sekta ya Kilimo uliofanyika katika skimu ya umwagiliaji ya Mwamkulu, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi. 

Kuna miradi takribani 29 katika Mkoa wa Katavi, ikiwemo miradi mikubwa
Dira Ya Samia (@dirayasamia) 's Twitter Profile Photo

Ustahimilivu, Maridhiano, Kuujenga Upya Uchumi na Mageuzi Kwenye Sekta Mbali Mbali Ndio Msingi wa Maendeleo ya Taifa. Na hiyo ndiyo Dira Ya Samia. Samia Suluhu ikulu_Tanzania #DiraYaSamia

Hemed Ally Mngwali (@hemedallytz) 's Twitter Profile Photo

Kuna lidude likuuuuuubwa linaitwa Taifa Letu, Kesho Yetu Lina linda maslahi mapana ya Tanzania, linasimamia Four R (4R), linalinda tunu za Nchi yetu, linatambua na kuzitangaza kazi zilizofanywa na kuendelea kufanywa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu na linapita chini kwa chini. Hili

Taifa Letu, Kesho Yetu (@tkmovement__) 's Twitter Profile Photo

Ukurasa huu unatoa jumbe mbalimbali za upotoshaji si ukurasa halali wa TK Movement. Ukurasa wetu rasmi ni Taifa Letu, Kesho Yetu. Hivyo tupuuze taarifa za chuki na upotoshaji wa zinazotolewa na ukurasa huu.

Ukurasa huu unatoa jumbe mbalimbali za upotoshaji si ukurasa halali wa TK Movement. Ukurasa wetu rasmi ni <a href="/tkmovement__/">Taifa Letu, Kesho Yetu</a>. Hivyo tupuuze taarifa za chuki na upotoshaji wa zinazotolewa na ukurasa huu.
Taifa Letu, Kesho Yetu (@tkmovement__) 's Twitter Profile Photo

Tupuuze upotoshaji huu, Hawa ni sehemu ya wapotoshaji wa malengo Chanya ya TK. TK Movement tunaiunga mkono Serikali na falsafa za 4R za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. TK Movement inaendelea na utaratibu wa kuwachukulia hatua watu wote wenye kujihusisha na vitendo hivi.

Tupuuze upotoshaji huu, Hawa ni sehemu ya wapotoshaji wa malengo Chanya ya TK.
TK Movement tunaiunga mkono Serikali na falsafa za 4R za Mhe.  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. 
TK Movement inaendelea na utaratibu wa kuwachukulia hatua watu wote wenye kujihusisha na vitendo hivi.
Taifa Letu, Kesho Yetu (@tkmovement__) 's Twitter Profile Photo

DC KHERI JAMES NA ‘CHIEF’ MKWAWA WAZINDUA TK MOVEMENT MKOANI IRINGA Mhe. Kheri James, Mkuu wa Wilaya ya Iringa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa akiongozana na Chifu Mkwawa wamezindua kampeni ya ‘Taifa letu, kesho yetu’ Iringa

DC KHERI JAMES NA ‘CHIEF’ MKWAWA WAZINDUA TK MOVEMENT MKOANI IRINGA

Mhe. Kheri James, Mkuu wa Wilaya ya Iringa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa akiongozana na Chifu Mkwawa wamezindua kampeni ya ‘Taifa letu, kesho yetu’ Iringa
Hemed Ally Mngwali (@hemedallytz) 's Twitter Profile Photo

Pale tu watu wema, wenye fikra pana, na maono makubwa wakiamua kushushana au kuumizana au kudhuriana wao kwa wao basi jua ni wakati wa Wajinga kutawala.

Taifa Letu, Kesho Yetu (@tkmovement__) 's Twitter Profile Photo

Wana TK Movement Mkoa wa Mara tarehe 28/08/2024 wameshiriki katika tukio la Kuaga miili ya watoto sita waliokufa maji, baada ya kuzama katika bwawa la maji la skimu ya umwagiliaji katika Kijiji cha Ochuna wilayani Rorya.

Wana TK Movement Mkoa wa Mara tarehe 28/08/2024 wameshiriki katika tukio la Kuaga miili ya watoto sita waliokufa maji, baada ya kuzama katika bwawa la maji la skimu ya umwagiliaji katika Kijiji cha Ochuna wilayani Rorya.
Taifa Letu, Kesho Yetu (@tkmovement__) 's Twitter Profile Photo

🤝 Katika ushiriki huo, tumefanikiwa kutoa katoni 30 za maji pamoja na kutoa fedha ya rambirambi kwa wafiwa. Tunapenda kuwashukuru viongozi na wanachama wote, waliojitoa Kwa michango yao, na kuwafuta machozi waombolezaji waliojitokeza katika msiba huo.

Hemed Ally Mngwali (@hemedallytz) 's Twitter Profile Photo

Tunawajibu Mkubwa wa Kuilinda sekta yetu ya Kilimo Kibiashara, Hatua hizi ni kwa Maslahi mapana ya Masoko yetu kwa Wakulima na wafanyabiashara wetu katika mnyororo mzima wa thamani. Hatua hizi haziturudishi nyuma bali zinatupa Ulinzi sahihi wa huko Mbele tuendapo hasa tukiwa na

Hemed Ally Mngwali (@hemedallytz) 's Twitter Profile Photo

Dr. Zubeda A.K.A Dr. Sisimizi , Dr. Mariam A.K.A Kigogo Media ni kawaida yenu kuzusha mambo yenu, Mkajitwishwa sinema zenu kwa vipande kwa Pesa na Mambo yakija tofauti mnabadili goal post. Siasa ni safari ndefu sana Dr Zubeda na Dr Mariam leteni taharuki nyingine.