John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile
John Heche

@hechejohn

Vice Chairman Chadema Tanganyika, former Member of Parliament for Tarime rural constituency, a reformer.

ID: 558686364

linkhttps://en.wikipedia.org/wiki/John_Heche calendar_today20-04-2012 12:45:14

82,82K Tweet

777,777K Takipçi

1,1K Takip Edilen

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Kila mkoa anapokwenda Mkonda magari yetu ya serikali mkoa mzima yanasitisha kufanya shughuli za umma na kuanza kukimbia kwenye misafara yake. Hii ni Nchi ambayo watu wanakufa kwa kukosa sh 5,000, wengi wanalala na kushinda njaa. Watoto wanasoma kwenye mazingira magumu, vitu

Kila mkoa anapokwenda Mkonda magari yetu ya serikali mkoa mzima yanasitisha kufanya shughuli za umma na kuanza kukimbia kwenye misafara yake.

Hii ni Nchi ambayo watu wanakufa kwa kukosa sh 5,000, wengi wanalala na kushinda njaa.

Watoto wanasoma kwenye mazingira magumu, vitu