HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile
HABARIMPYA TV

@habarimpyatv

Pata Habari Kamili

ID: 1496589254981472262

linkhttp://www.com calendar_today23-02-2022 20:54:29

12,12K Tweet

106,106K Followers

5,5K Following

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Mwigizaji Dr. Cheni amesema Msanii mwenzie Steve Nyerere anastahili kupongezwa na kupewa heshima kwa kuja na wazo la Faraja ya Tasnia ambapo Wasanii na Wadau wa Sanaa waliotangulia mbele za haki watakuwa wakienziwa na kusomewa Dua huku Familia za wapendwa hao zikipewa faraja.