Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile
Grace Shio

@graceshio03

- Politician-Chadema Secretary Nyasa zone.
- Born again Christian
- An Entrepreneur| Founder of Urithi Co. Ltd |Tourism| food|realestate @urithi03 @urithitours

ID: 1822481739060858880

linkhttps://urithitours.co.tz calendar_today11-08-2024 03:55:01

430 Tweet

1,1K Takipçi

208 Takip Edilen

Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Shauri limeahirishwa mpaka saa nane mchana.. Kwa muda huu Wakili wa Jamhuri atatakuwa kumpatia Mh. Lissu nyaraka zote za shauri hili kisha Mh. Lissu atasomewa mashtaka yake. Hii ni baada ya jopo la Majaji kutoa uamuzi kuwa una mamlaka ya kusikiliza hili shauri. TUTASHINDA

Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Wanachama wakiimba 'Mwenyekiti Mwenyekiti Mwenyekiti' Kesi imeahirishwa mpaka kesho ambapo Mh. Tundu Antiphas Lissu ataendelea na hoja yake yenye lengo la kuonesha kuwa ile hati ya mashtaka imekosa sifa hivyo Jaji afutilie mbali hii kesi. TUTASHINDA

Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Wanachama, Viongozi na Wapenda Demokrasia wakitoka nje ya chumba cha Mahakama kutokana na chumba cha Mahakama kujaa Askari Polisi na Wanachama wetu kuzuiwa kuingia kusikiliza kesi Habari mpya ni kuwa Mh. Tundu Antiphas Lissu naye amegoma kuendelea na shauri mpaka Wananchi warudi

Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Wanachama, Viongozi na Wapenda Demokrasia wakitoka nje ya chumba cha Mahakama kutokana na chumba cha Mahakama kujaa Askari Polisi na Wanachama wetu kuzuiwa kuingia kusikiliza kesi Habari mpya ni kuwa Mh. Tundu Antiphas Lissu naye amegoma kuendelea na shauri mpaka Wananchi warudi

Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Mh. Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu amemaliza kuweka pingamizi lake juu ya ubovu wa hati ya Mashtaka kwamba haikufuata Sheria... Ameweka Authority za kutosha na kumalizia kuiomba Mahakama ifutilie mbali shauri hili.. Imagine Hati ya mashtaka haioneshi anashitakiwa kwa Kosa gani.. Dah!

Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Mawakili 6 wa Serikali leo watajibu hoja zilizotolewa na Mh. Tundu Antiphas Lissu kuhusiana na hati ya Mashtaka kukosa vigezo vya kisheria. Ni kwamba hati ya mashtaka haisemi hata kosa analoshtakiwa nalo. Kisheria hiyo inatosha kuifutilia mbali hii kesi. Wahi Mahakamani. TUTASHINDA

Mawakili 6 wa Serikali leo watajibu hoja zilizotolewa na Mh. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> kuhusiana na hati ya Mashtaka kukosa vigezo vya kisheria.
Ni kwamba hati ya mashtaka haisemi hata kosa analoshtakiwa nalo. Kisheria hiyo inatosha kuifutilia mbali hii kesi.

Wahi Mahakamani.
TUTASHINDA
Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA UMMA. Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Nyasa kinasikitika kutangaza kifo cha Kamanda Frank John Nyalusi, Diwani Mstaafu na Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Iringa Mjini kilichotokea usiku wa kuamkia leo 19.09.2025. Pumzika kwa amani Kamanda.

TAARIFA KWA UMMA. 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Nyasa kinasikitika kutangaza kifo cha Kamanda Frank John Nyalusi, Diwani Mstaafu na Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Iringa Mjini kilichotokea usiku wa kuamkia leo 19.09.2025.

Pumzika kwa amani Kamanda.
Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji. Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako. Ukawe mwezi wa kukumbukwa kwenye maisha yako. #october

Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.

Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako.

Ukawe mwezi wa kukumbukwa kwenye maisha yako.
#october
Hamadi.Mbeyale🔥🔥 (@hamadchadema) 's Twitter Profile Photo

#Updates Nimepokea taarifa usiku huu wa saa 6:15 kuwa polisi wamevamia nyumbani kwa mwanachama wetu ndugu CHISANO wa kijiji cha Mchangani kata ya Isongole wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya na kuondoka naye bila maelezo yoyote. Hata hivyo tunaendelea kufuatilia zaidi na tutawajuza.

Tausi Likokola (@tausilikokola) 's Twitter Profile Photo

Eyes on Tanzania😔💔Mo Ibrahim - a highly respected businessman, philanthropist, and advocate for good governance in Africa- chats with CNN’s Larry Madowo. Many will question, exactly: If one wins elections by 98%, why jail main opposition leaders? Why did so many protest? Why