Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile
Symon Goodluck

@goodlucksymon

Nakupenda Tanzania

ID: 1627921130949431296

calendar_today21-02-2023 06:45:10

183 Tweet

20 Takipรงi

269 Takip Edilen

Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

tumeyauchaguzi_tanzania Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeanzisha majimbo mapya nane na kubadilisha majina ya majimbo 12 ya uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo tarehe 12 Mei,

tumeyauchaguzi_tanzania Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeanzisha majimbo mapya nane na kubadilisha majina ya majimbo 12 ya uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo tarehe 12 Mei,
Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

Utekaji wa Mdude Nyangali: Maria Sarungi nyuma ya pazia maagizo ya utekaji ndani ya Chadema: Kutoka Nairobi- Kenya 11.05.2025 Taarifa kutoka chanzo kuaminika kutoka Nairobi Kenya kimeeleza kuwa Mdude Nyangali anayedaiwa kutekwa Mkoani Mbeya yuko Nairobi, kwamba amefika huko

Utekaji wa Mdude Nyangali: Maria Sarungi nyuma ya pazia maagizo ya utekaji ndani ya Chadema:

Kutoka Nairobi- Kenya

11.05.2025

Taarifa kutoka chanzo kuaminika kutoka Nairobi Kenya kimeeleza kuwa Mdude Nyangali anayedaiwa kutekwa Mkoani Mbeya yuko Nairobi, kwamba amefika huko
Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

Kama bado kuna mwanachama au kiongozi wa chadema hajastuka hii hali na kuchukua hatua kunusuru basi huyo mwanachama/kiongozi ndie tatizo kwenye chama chetu.... Naendelea kushauri viongozi wa chama taifa wachukue hatua mwenendo huu si sawa! Msilewe kwa kuona mikutano inajaa watu,

Kama bado kuna mwanachama au kiongozi wa chadema hajastuka hii hali na kuchukua hatua kunusuru basi huyo mwanachama/kiongozi ndie tatizo kwenye chama chetu....

Naendelea kushauri viongozi wa chama taifa wachukue hatua mwenendo huu si sawa! Msilewe kwa kuona mikutano inajaa watu,
Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

Lema anapata wapi fedha? Alipokuwa Canada ali default madeni yake Bank hivyo mali zake zikachukuliwa na kupigwa mnada na biashara zake kufilisika. Amerudi Bongo hana fedha wala pakuishi, akapewa hifadhi kwa muda na Mbowe kwenye moja ya nyumba zake Arusha, familia yake hadi leo

Lema anapata wapi fedha?

Alipokuwa Canada ali default madeni yake Bank hivyo mali zake zikachukuliwa na kupigwa mnada na biashara zake kufilisika.

Amerudi Bongo hana fedha wala pakuishi, akapewa hifadhi kwa muda na Mbowe kwenye moja ya nyumba zake Arusha, familia yake hadi leo
Princess Kate (@princess_mcute) 's Twitter Profile Photo

Ni matusi kwa Waafrika kumfananisha Tata Madiba (Nelson Mandela) na Kibaka Tundu Antiphas Lissu 1.Mandela hakuficha watoto wa mke nje ya nchi wakati akiwa jela, Lissu ameficha mke na watoto Marekani akisingizia sababu za kiusalama. Wakati wa Mandela, SA ilikuwa hatari zaidi lakini

Ni matusi kwa Waafrika kumfananisha Tata Madiba (Nelson Mandela) na  Kibaka <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> 

1.Mandela hakuficha watoto wa mke nje ya nchi wakati akiwa jela, Lissu ameficha mke na watoto Marekani akisingizia sababu za kiusalama. Wakati wa Mandela, SA ilikuwa hatari zaidi lakini
Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

Unawapoteza wanachama majembe na wenye nguvu za ushawishi kama: 1. Moza Ally 2. Glory Tausi 3. Catherine Ruge 4. Devotha Minja 5. Grace Kihwelu 6. Suzan Kiwangwa Alafu unabakiwa na Maria Sarungi asiye mwanachama na yupo mafichoni Nairobi Kenya. INAFIKIRISHA!

Unawapoteza wanachama majembe na wenye nguvu za ushawishi kama:

1. Moza Ally

2. Glory Tausi

3. Catherine Ruge

4. Devotha Minja

5. Grace Kihwelu

6. Suzan Kiwangwa

Alafu unabakiwa na Maria Sarungi asiye mwanachama na yupo mafichoni Nairobi Kenya. INAFIKIRISHA!
Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

Mshauri wa Rais wa Tanzania wa Masuala ya Afya na Tiba ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Yakub Janabi ametangazwa rasmi kushinda uchaguzi na amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwenye uchaguzi

Mshauri wa Rais wa Tanzania wa  Masuala ya Afya na Tiba ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Yakub Janabi ametangazwa rasmi kushinda uchaguzi na amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwenye uchaguzi
Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema kuanzia Machi 2021 hadi Machi 2025, kiasi cha gesi asilia kilichozalishwa nchini kimefikia futi za ujazo bilioni 301.33, ambapo awali ilikuwa futi za ujazo bilioni 57.16 kwa mwaka. Kiasi hicho ni kutoka Kitalu cha Mnazi

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema kuanzia Machi 2021 hadi Machi 2025, kiasi cha gesi asilia kilichozalishwa nchini kimefikia futi za ujazo bilioni 301.33, ambapo awali ilikuwa futi za ujazo bilioni 57.16 kwa mwaka.

Kiasi hicho ni kutoka Kitalu cha Mnazi
Symon Goodluck (@goodlucksymon) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Simba imekamilisha uhamisho wa beki wa kati Rushine De Reuck. Rushine De Reuck, amewahi kukipiga katika klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Simba inavyomkimbiza mwizi kimya kimya, mimi sio mtabiri lakini ninachojua ni mwizi anaweza kukimbilia Kituo cha Polisi.

Klabu ya Simba imekamilisha uhamisho wa beki wa kati Rushine De Reuck.

Rushine De Reuck, amewahi kukipiga katika klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Simba inavyomkimbiza mwizi kimya kimya, mimi sio mtabiri lakini ninachojua ni mwizi anaweza kukimbilia Kituo cha Polisi.