@gift_macha
Media Influencer
calendar_today13-08-2021 08:42:43
4,0K Tweets
312,8K Followers
115 Following
2 weeks ago
Azam FC imecheza mechi 16 za Ligi Kuu bila kupoteza.. Ikiwemo mechi kubwa dhidi ya Yanga na Simba.. Na hapo wana majeruhi kibao.. Dube kagoma na hawana straika.. Kuna kitu huyu Mwamba anakisuka pale Chamazi.. Msimu ujao wanaweza kuwashangaza wengi