Gervas Maiko Sulle (@germaiko) 's Twitter Profile
Gervas Maiko Sulle

@germaiko

Biologist and Wildlife Ecologist,
Professional Hunter,
Mgombea wa Ubunge 2020 (CHADEMA),Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Manyara, Makamu Mwenyekiti Kanda ya Kaskazini

ID: 291300621

calendar_today01-05-2011 19:34:03

12,12K Tweet

2,2K Followers

674 Following

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Asante sana my dear brother ❤️🙏🏽 You did a wonderful job - shughuli ilipata MC sahihi - you did this with great respect and dignity 🙏🏽

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️IMPORTANT UPDATE‼️ ✅Case No: 10014938 Tunasubiri serikali itoe majibu Tumeshafanikiwa Umoja wa Mataifa 🙏🏽 Tutawashtaki hadi mbinguni #StopEnforcedDisappearances #Tanzania Nikishakaa sawa tutaendelea kuhakikisha kesi za utekaji ZOTE zinasajiliwa kimataifa - Truly, I have

‼️IMPORTANT UPDATE‼️
✅Case No: 10014938

Tunasubiri serikali itoe majibu 
Tumeshafanikiwa Umoja wa Mataifa 🙏🏽

Tutawashtaki hadi mbinguni
#StopEnforcedDisappearances #Tanzania 

Nikishakaa sawa tutaendelea kuhakikisha kesi za utekaji ZOTE zinasajiliwa kimataifa  - Truly, I have
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

The Silent Generation - It’s a great generation ❤️ Baba alikuwa kizazi hiki cha Kizazi Kimya na kwa Afrika wengi waliosoma walikulia mission na mazingira ya dini. Zaidi ya kubatizwa au kufuata dini husika, pia walikulia katika maadili ya utu na hawakuwa na makuu! Walichapa kazi

The Silent Generation - It’s a great generation ❤️
Baba alikuwa kizazi hiki cha Kizazi Kimya na kwa Afrika wengi waliosoma walikulia mission na mazingira ya dini. Zaidi ya kubatizwa au kufuata dini husika, pia walikulia katika maadili ya utu na hawakuwa na makuu! Walichapa kazi
Gervas Maiko Sulle (@germaiko) 's Twitter Profile Photo

Mapambano ya kudai haki hasa katika uchaguzi ndio yameanza. Uhuru wa kweli haupatikani kirahisi ila kupitia mapambano makali ya kisiasa ya gharama kubwa vm.tiktok.com/ZMBgLX7vw/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: tiktok.com/tiktoklite

Gervas Maiko Sulle (@germaiko) 's Twitter Profile Photo

Hivi viongozi wetu wa sasa wa Serikali ya CCM na Chama Cha Mapinduzi wanasikiliza wosia wa Baba wa Taifa kweli? Au wanapuuza? Sisi wananchi tunmwamini Baba. vm.tiktok.com/ZMBgNtvEQ/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: tiktok.com/tiktoklite

Gervas Maiko Sulle (@germaiko) 's Twitter Profile Photo

Nimemsikiliza Mh Jakaya Kikwete akisifu mifumo ya uchaguzi wa Kenya. Katika nchi yetu Tanzania Rais huyo staafu sijamsikia akisaidia uongozi uliopo kuunda transparency katika mifumo yetu ili uchaguzi uwe wa huru na haki. Anaposifu mifumo ya Kenya hataki ya Tanzania iwe wazi na huru?

Gervas Maiko Sulle (@germaiko) 's Twitter Profile Photo

Kwa hiyo Murillo Police Force TZ atuambie nani kawakamata maana wajibu wa upelelezi wa wahalifu ni kazi yao! Lakini kwa huu uthibitisho wa picha aje hadharani kubisha. Kutokanq na maelezo yake, siku nyingine watu wakikabiliana na polisi kwa kuwahisi ni wahilifu itakuwa sahihi? Ona picha!

Hamadi.Mbeyale🔥🔥 (@hamadchadema) 's Twitter Profile Photo

Moja ya viongozi bora kabisa wa kidini ni pamoja na #PadriKitima. Naomba like zake ,comment pamoja na share kama sehemu ya kutambua mchango wake katika kujenaga Taifa imara.

Gervas Maiko Sulle (@germaiko) 's Twitter Profile Photo

Kwa hiyo Murillo Police Force TZ atuambie nani kawakamata maana wajibu wa upelelezi wa wahalifu ni kazi yao! Lakini kwa huu uthibitisho wa picha aje hadharani kubisha. Kutokanq na maelezo yake, siku nyingine watu wakikabiliana na polisi kwa kuwahisi ni wahilifu itakuwa sahihi? Ona picha!

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Nimepokea taarifa mbaya za kushambuliwa kwa Mwalimu wangu Dr Kitima Usiku huu. Hii ni habari mbaya sana kwa Nchi yetu, tumefikaje hapa? Get well soon Father, tunakuombea.

Nimepokea taarifa mbaya za kushambuliwa kwa Mwalimu wangu Dr Kitima Usiku huu.

Hii ni habari mbaya sana kwa Nchi yetu, tumefikaje hapa?

Get well soon Father, tunakuombea.
Robert Amsterdam (@robertamsterdam) 's Twitter Profile Photo

I am contacting the Vatican for support in the fight between good and evil unfolding in Tanzania. Attacking a priest is an attack on humanity and honour itself. The CCM and President Hassan bear responsibility for this violence.

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Ila magereza na nyie sijui mlipokea amri kutoka Mshamba gani huko Ukonga Mnamrekodi Tundu Antiphas Lissu akiwa na wageni wake alafu mnakataza wasiongee lugha tofauti na Kiswahili? Yaani familia iisongee kikabila, na kiingereza mkisikia mnaanza kuweweseka Kwani mnampelekea nani hiyo

Ila magereza na nyie sijui mlipokea amri kutoka Mshamba gani huko Ukonga
Mnamrekodi <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> akiwa na wageni wake alafu mnakataza wasiongee lugha tofauti na Kiswahili? Yaani familia iisongee kikabila, na kiingereza mkisikia mnaanza kuweweseka 
Kwani mnampelekea nani hiyo