๐•ต๐–†๐–’๐–†๐–† ๐•ธ๐–š๐–š๐–Ÿ๐–† ๐•ฏ๐–†๐–œ๐–† (@gaspinho15) 's Twitter Profile
๐•ต๐–†๐–’๐–†๐–† ๐•ธ๐–š๐–š๐–Ÿ๐–† ๐•ฏ๐–†๐–œ๐–†

@gaspinho15

๐— ๐—ฒ๐—ฑ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ๐—น ๐—Ÿ๐—ฎ๐—ฏ๐Ÿฅผ
@fcbarcelona
๐—–๐—ผ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐˜๐—ต๐—ถ๐—ฎ๐—ป ๐Ÿ•Š
@YoungAfricansSC๐Ÿ”ฐ
Kwa Changamoto za Uzazi kwa jinsia zote n.k
TMDA CERTIFIED
WhatsApp link ๐Ÿ‘‡

ID: 567239726

linkhttps://wa.me/message/FKJQWCKHNMBDA1 calendar_today30-04-2012 13:51:55

287,287K Tweet

112,112K Followers

1,1K Following

Sean ๐ŸŽ–๏ธ (@iboysean) 's Twitter Profile Photo

UNA MTOTO WA UMRI KATI YA 5-10? KodeUni inakukaribisha mzazi kuleta mtoto wako kwenye #SummerCodeSurge ;nafasi za mtoto kujifunza computer skills kama games, coding na Python kwa siku 10. ๐Ÿ“ DSM,June 09 โ€“ July 18, Ada; 200,000 TZS tu. โ˜Ž๏ธ0745000555 #KodeUni #CSForAll

UNA MTOTO WA UMRI KATI YA 5-10?

<a href="/KodeUniKids/">KodeUni</a> inakukaribisha mzazi kuleta mtoto wako kwenye #SummerCodeSurge ;nafasi za mtoto kujifunza computer skills kama games, coding na Python kwa siku 10.
๐Ÿ“ DSM,June 09 โ€“ July 18, Ada; 200,000 TZS tu.
โ˜Ž๏ธ0745000555

#KodeUni #CSForAll
Paschal sam (@paschalsam1) 's Twitter Profile Photo

Hii ni shule ya Kata iliyojengwa Ukonga Dar es Salaam yenye ghorofa 4 na yenye lift ambayo zaidi itakuwa inatumiwa na wanafunzi wenye mahitaji maalamu. Shule hii imejengwa kwa mapato ya ndani ya zaidi ya Tsh Bilioni 2. #MamaYukoKazini

Hii ni shule ya Kata iliyojengwa Ukonga Dar es Salaam yenye ghorofa 4 na yenye lift ambayo zaidi itakuwa inatumiwa na wanafunzi wenye mahitaji maalamu. Shule hii imejengwa kwa mapato ya ndani ya zaidi ya Tsh Bilioni 2.
#MamaYukoKazini
Tanzania Ya Samia (@tanzaniayamama) 's Twitter Profile Photo

๐—จ๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜€๐—ฒ๐—ธ๐˜๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ผ, ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ, ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐˜‚๐—ฟ๐˜€๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ป๐—ฎ. #TanzaniaYaSamia #KaziNaUtuTunasongambele Taifa

๐—จ๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜€๐—ฒ๐—ธ๐˜๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ผ, ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ, ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐˜‚๐—ฟ๐˜€๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ป๐—ฎ.

#TanzaniaYaSamia
#KaziNaUtuTunasongambele

Taifa
Mama Anafanikisha (@mamanafanikisha) 's Twitter Profile Photo

Mauzo ya nyama nje ya nchi yameongezeka kutoka tani 1,774 mwaka 2021 hadi tani 14,701 mwaka 2024. Ongezeko hilo linatokana na jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita kuongeza ushirikiano na fursa za kibiashara nje ya nchi. #MamaAnafanikisha #KaziNaUtuTunasongaMbele

Mauzo ya nyama nje ya nchi yameongezeka kutoka tani 1,774 mwaka 2021 hadi tani 14,701 mwaka 2024.

Ongezeko hilo linatokana na jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita kuongeza ushirikiano na fursa za kibiashara nje ya nchi.

#MamaAnafanikisha 
#KaziNaUtuTunasongaMbele
Holy (@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Harambee ya Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum. Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu ameshiriki hafla ya harambee ya ujenzi kituo cha watoto wenye changamoto za Afya ya Akili cha Udiakonia Bagamoyo chini ya KKKT #MamaYukoKazini #TanzaniaYaSamia

Harambee ya Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum.

Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu ameshiriki hafla ya harambee ya ujenzi kituo cha watoto wenye changamoto za Afya ya Akili cha Udiakonia Bagamoyo chini ya KKKT #MamaYukoKazini #TanzaniaYaSamia
Holy (@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Malengo makuu ya Dira ya 2050 โ˜‘๏ธUchumi mseto - imara, stahimilivu โ˜‘๏ธMaisha bora โ˜‘๏ธUsimamizi wa mazingira โ˜‘๏ธMatumizi ya mifumo ya kidijitali kujiendeleza Nuru Maro - Mkurugenzi wa Jukwaa la Maendeleo Vijijini #ChangeNiSisi #CSOWeek2025

Gift Kimaro (@giftkimaro7) 's Twitter Profile Photo

Ujenzi wa daraja la Kipanda lenye urefu wa mita 20 na upana mita 7 umeleta ahueni kwa wakazi wa vijiji vya Namsinde na Mfuto kuzifikia kwa urahisi huduma za kijamii na kiutawala. #MamaYukokazini #MamaAnafanikisha

Ujenzi wa daraja la Kipanda lenye urefu wa mita 20 na upana mita 7 umeleta ahueni kwa wakazi wa vijiji vya Namsinde na Mfuto kuzifikia kwa urahisi huduma za kijamii na kiutawala.

#MamaYukokazini 
#MamaAnafanikisha
Happie๐Ÿ’• (@happie_thom) 's Twitter Profile Photo

Mauzo ya nyama nje ya nchi yameongezeka kutoka tani 1,774 mwaka 2021 hadi tani 14,701 mwaka 2024 haya ni matokeo ya jitihada zinazofanywa na serikali kuongeza ushirikiano na fursa za kibiashara nje ya nchi. #MamaYukoKazini #MamaAnafanikisha

Eng. Hersi Said (@caamil8) 's Twitter Profile Photo

Stepping into Harvard Business School feels surreal! This is more than just a learning experience; itโ€™s an opportunity to challenge myself, expand my horizons, and collaborate with exceptional peers. @pato Sebastian vettel Anita Elberse HBS Exec Ed

Stepping into Harvard Business School feels surreal!

This is more than just a learning experience; itโ€™s an opportunity to challenge myself, expand my horizons, and collaborate with exceptional peers. 

 @pato <a href="/Vettelse/">Sebastian vettel</a> <a href="/anitaelberse/">Anita Elberse</a> <a href="/HBSExecEd/">HBS Exec Ed</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Unajua kula Chuma mbili halafu kuna Yamal hajafunga, maana ana tabia kama za wale watoto wa kikoma wanaotembea na viwembe, wanakuvizia unaenda kununua Icecream ๐Ÿ˜