Furaha Nzunda (@furaha_nzunda) 's Twitter Profile
Furaha Nzunda

@furaha_nzunda

We all are Citizens of the World. What's good for you, Must be good for All. Share a plate of food with a stranger ☆I'm Catholic Christian☆

ID: 2732991664

calendar_today04-08-2014 03:11:12

88,88K Tweet

14,14K Takipçi

9,9K Takip Edilen

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la polisi Police Force TZ mkoa wa Mbeya wanatafuta nyumba ninayoishi sijui wanataka kuja kutambika au kuniteka? Wamemuambia mmoja wa wanachama wetu kwamba tunaomba utuoneshe nyumba tu anayoishi Mdude tutakupa pesa. Alipowauliza ana kosa gani wamekwepa kusema. Yani wamefikia hatua

Jebra Kambole (@advocate_jebra) 's Twitter Profile Photo

Mdude amekamatwa na Police Force TZ Usiku huu nyumbani kwake, wamevunja mlango na kumpiga sana!, KWa kuwa tumeamua kuwakabidhi watu wa aina hii bunduki basi matokeo yake ndo haya. Mungu wetu wa mbinguni tunakuomba umponye Mdude Nyagali , kila siku story ni za aina hii, haiwasaidii!!

Sheila Mchamba (@sheilamchamba) 's Twitter Profile Photo

Aaah jamn😭😭. Wallahi nisipopata mental health mwaka huu sipati tena✋🏾💔. #FreeMdude😭. Mungu amsaidie🤲🏽🙏🏽

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

NCHI HAIKO SALAMA. Nimepokea taarifa Usiku huu kwamba Ndugu Mdude Mpaluka Nyagali amevamiwa na Polisi akiwa nyumbani kwake ,wamempiga na kumjeruhi na Kuondoka naye. Huu ni muendelezo wa kitisho cha usalama.Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya liwajibike kuhusu usalama wake.

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Hii ni damu ya Mdude Nyagali. Walaaniwe wasenge wote waliopanga na kutekeleza mkakati wa kumteka na kumtesa. Sisi ni watoto wa Mungu. Tunamuombea uzima. Kama alivyovuka huko awali, atavuka na hapa. This is not our country! #FreeMdudeNyagali

#NIPENI_MAUA_YANGU💐 (@roma_mkatoliki) 's Twitter Profile Photo

Wakikaa kwenye vikao vyao na kufanya review ya matukio waliyoyafanya for years ya Kuteka/Kutesa/Kuua/Kupoteza/Kujeruhi Kufunga kwa sababu tu za ukosoaji wa gavoo. Wakiangalia na goals zao wanakutana na results tofauti!! Goals zao ni kuunyamazisha uma, kuufunga mtaa mdomo!!

Rose Mayemba (@rose_mayemba) 's Twitter Profile Photo

Sio kwamba hatuogopi kufa, tunapaza sauti zetu kukemea dhulma huku tukijua maisha yetu yako hatari. Kuzipigania Rasilimali za nchi yetu kwetu ni IBADA,hata tukiogopa kufa kwa kupigwa na Mapanga ama kwa kushambuliwa na Risasi bado tutakufa kwa Malaria. KIFO NI KIFO TU! Pole MDUDE

Furaha Nzunda (@furaha_nzunda) 's Twitter Profile Photo

Anayeshauri na kukosoa uonevu, wizi, Rushwa na maovu yote ndiye mtu wa thamani duniani. Ni wachache wanaosema ukweli, WASIUWAWE, KUUMIZWA AU KUPOTEZWA

Anayeshauri na kukosoa uonevu, wizi, Rushwa na maovu yote ndiye mtu wa thamani duniani. Ni wachache wanaosema ukweli, WASIUWAWE, KUUMIZWA AU KUPOTEZWA
Furaha Nzunda (@furaha_nzunda) 's Twitter Profile Photo

Usipokemea uovu utakufa, Ukinyamaza kimya utakufa, Ukikemea uovu utakufa, Ukipaza sauti kudai haki utakufa, Ila ni kheri kifo cha kudai haki kuliko kukaa kimya kwa kuogopa wauaji. Mdude hausitahili damu yako kuotesha mimea, bali haki kustawi.

Gwamaka 𝗠𝗕𝗨𝗚𝗛𝗜 (@gwamakambughi) 's Twitter Profile Photo

Kwenye Matukio kama haya yanayoendelea Nchini kwetu, lazima kuna; 1. Wanaofadhili 2.Wanaoratibu 3.Wanaotekeleza Angalua wanotekeleza wametajwa mara nyingi. Tuna wajibu wa kuweka hadharani majina ya wanaofadhili na wanaoratibu

US Embassy Tanzania (@usembassytz) 's Twitter Profile Photo

Following the shocking and brutal attack against Father Charles Kitima, we join Tanzanians across the political spectrum in praying for his full recovery and condemning all acts of violence, especially those that aim to silence calls for justice, reconciliation, and human rights.

Following the shocking and brutal attack against Father Charles Kitima, we join Tanzanians across the political spectrum in praying for his full recovery and condemning all acts of violence, especially those that aim to silence calls for justice, reconciliation, and human rights.
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Daah! Mke wa Mdude Nyagali akilia kwa uchungu muda huu baada ya Polisi kufika nyumbani kwa Mdude kufanya Uchunguzi huyu mtoto aliyebeba ndo mtoto wao. Polisi wanataka kumtenganisha huyu Dada na mmewe lkn pia wanataka mtoto akue bila malezi ya Baba. Nasikia kulia 😭😭😭😭

Tanganyika Law Society(TLS) (@tanganyikalaw) 's Twitter Profile Photo

Baraza la Uongozi la Chama cha Sheria Tanganyika (TLS), kama lilivyopewa mamlaka chini ya kifungu cha 4 cha Sheria ya Chama cha Wanasheria Tanganyika Sura ya 307, limetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu matukio ya kusikitisha yaliyotokea wakati wa uendeshaji wa kesi ya

Baraza la Uongozi la Chama cha Sheria Tanganyika (TLS), kama lilivyopewa mamlaka chini ya 
kifungu cha 4 cha Sheria ya Chama cha Wanasheria Tanganyika Sura ya 307, limetoa taarifa  kwa vyombo vya habari kuhusu matukio ya kusikitisha yaliyotokea wakati wa uendeshaji wa kesi ya