Freedom
@freedom_255
Freedom⭐
ID: 1081189000503836672
http://community.com 04-01-2019 14:02:00
901 Tweet
203 Followers
917 Following
Wanavyosema kuwa Mange anakesi ya Uhujumu uchumi? Unaweza kudhani kama amehujumu uchumi wa nchi au ameibia nchi! Eti amepata 138m kwa kufanya kazi ya uwanahabari katı ya 01/03/2022 na 31/03/2022 bila kuwa na ithibati ya Bodi, Bodi imeanza kazi 03/03/2025, Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Ndugu yetu, rafiki yetu Fortunatus Buyobe alikamatwa na Askari kutoka Dar Central Police nyumbani kwake jana jioni mpaka muda huu haijulikani amepelekwa wapi. Buyobe amekuwa akitafutwa atekwe sababu ya maoni yake. Disemba 9 lazima tutoke kwa wingi ili tukomeshe huu ushenzi.
“Nchi yetu imechafuka na haiwezi kusafishwa”-; Dr. Rugemeleza Nshala.