Female Future Tanzania (@femalefuture_tz) 's Twitter Profile
Female Future Tanzania

@femalefuture_tz

Female Future is an executive program which is developed to help determined women to attain top leadership positions in both public and private sectors.

ID: 1032925846091247616

calendar_today24-08-2018 09:41:27

192 Tweet

276 Followers

24 Following

Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Ili kuhakikisha kuna kuwa kuna ukujai chanya wa mabadiliko ya kidijitali, lazima kuwe na usalama juu ya utumiaji wa mitandao yakijamii na kuweka nguvu kukabiliana na changamoto. #ALC2023 | #FemaleFutureTz

Ili kuhakikisha kuna kuwa kuna ukujai chanya wa mabadiliko ya kidijitali, lazima kuwe na usalama juu ya utumiaji wa mitandao  yakijamii na kuweka nguvu kukabiliana na changamoto. 

#ALC2023 | #FemaleFutureTz
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mabadiliko ya kidijitali yanachagiza ukuaji wa kiuchumi hasa kwenye eneo la viwanda na utoaji huduma kwenye jamii. #ALC2023 | #FemaleFutureTz

Mabadiliko ya kidijitali yanachagiza ukuaji wa kiuchumi hasa kwenye eneo la viwanda na utoaji huduma kwenye jamii.

#ALC2023 | #FemaleFutureTz
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

The mission of the FFT programme is to increase capacity and number of women in the apex of organizations and corporate Boards. ESAMI's role has been to enhance managerial and decision making competences of these women as they go up the ladder. - Prof Martin Lwanga  #ALC2023

The mission of the FFT programme is to increase capacity and number of women in the apex of organizations and corporate Boards. ESAMI's role has been to enhance managerial and decision making competences of these women as they go up the ladder. - Prof Martin Lwanga 

#ALC2023
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

The idea of the FF Program is a bold effort towards achieving gender equality at all levels of leadership by increasing the capacity of women in Management positions, Decision-making processes and Corporate Boards. ~ Hon. Mboni Mhita, Kahama District Commissioner  #ALC2023

The idea of the FF Program is a bold effort towards achieving gender equality at all levels of leadership by increasing the capacity of women in Management positions, Decision-making processes and Corporate Boards. ~ Hon. Mboni Mhita, Kahama District Commissioner 

#ALC2023
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Hon. Dr. Saada Mkuya Salum - Minister of State Office of the President, Finance and Planning, Zanzibar. Giving her remarks on Female Future Tanzania as she is one among the beneficiaries of this program. #ALC2023 | #FemaleFutureTz

Hon. Dr. Saada Mkuya Salum - Minister of State Office of the President, Finance and Planning, Zanzibar. Giving her remarks on <a href="/femalefuture_tz/">Female Future Tanzania</a> as she is one among the beneficiaries of this program. 

#ALC2023 | #FemaleFutureTz
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Dkt. Doroth Gwajima Dr. Dorothy Gwajima Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum. Akitoa salamu za pongezi kwa Wahitimu na Wageni Waalikwa kwenye Mkutano wa Mwaka wa Mwanamke Kiongozi. #ALC2023 | #FemaleFutureTz

Dkt. Doroth Gwajima <a href="/Dr_DGwajima/">Dr. Dorothy Gwajima</a> Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum. Akitoa salamu za pongezi kwa Wahitimu na Wageni Waalikwa kwenye Mkutano wa Mwaka wa Mwanamke Kiongozi. #ALC2023 | #FemaleFutureTz
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Ms. Jayne Nyimbo Mwenyekiti wa bodi ya Association of Tanzania Employers(ATE) akitoa salamu kwa Wageni Waalikwa na wahudhuriaji wa mkutano. Mwenyekiti ametumia muda huo kumkaribisha Mhe. Joyce Ndalichako, Waziri OWM-KAVW #ALC2023 | #FemaleFutureTz

Ms. Jayne Nyimbo Mwenyekiti wa bodi ya <a href="/ATE_Tanzania/">Association of Tanzania Employers(ATE)</a> akitoa salamu kwa Wageni Waalikwa na wahudhuriaji wa mkutano. Mwenyekiti ametumia muda huo kumkaribisha Mhe. Joyce Ndalichako,  Waziri OWM-KAVW 

#ALC2023 | #FemaleFutureTz
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Programu ya Mwanamke Kiongozi kwa mwaka huu imebeba ujumbe unaosema “Mchango wa Mabadiliko ya Kidigitali katika Kuimarisha Usawa wa Kijinsia katika Uchumi wa Tanzania: Mafanikio, Changamoto na Fursa”. - Prof. Joyce Lazaro Ndalichako, (MB) Waziri, OWM- KAVW #ALC2023 | #FemaleFutureTz

Programu ya Mwanamke Kiongozi kwa mwaka huu imebeba ujumbe unaosema “Mchango wa Mabadiliko ya Kidigitali katika Kuimarisha Usawa wa Kijinsia katika Uchumi wa Tanzania: Mafanikio, Changamoto na Fursa”. - <a href="/PNdalichako/">Prof. Joyce Lazaro Ndalichako</a>, (MB) Waziri, OWM- KAVW 

#ALC2023 | #FemaleFutureTz
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mchango wa Mabadiliko ya Kidigitali katika Kuimarisha Usawa wa Kijinsia katika Uchumi wa Tanzania: Mafanikio, Changamoto na Fursa, ujumbe huu unaenda sanjari na mada kuu ya Maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani. - Mhe. Kassim Majaliwa (MB) Waziri Mkuu JMT. #ALC2023

Mchango wa Mabadiliko ya Kidigitali katika Kuimarisha Usawa wa Kijinsia katika Uchumi wa Tanzania: Mafanikio, Changamoto na Fursa, ujumbe huu unaenda sanjari na mada kuu ya Maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani. - Mhe. Kassim Majaliwa (MB) Waziri Mkuu JMT.

#ALC2023
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Napongeza kampuni ambazo zimeleta wafanyakazi wao katika awamu ya 8 ya mafunzo ya programu hii yenye lengo la kuwajengea uwezo wanawake waweze kushika nafasi za juu za uongozi na kuwapa uwezo wa kuingia kwenye bodi na kushiriki katika kutoa maamuzi. - Mhe. Waziri Mkuu #ALC2023

Napongeza kampuni ambazo zimeleta wafanyakazi wao katika awamu ya 8 ya mafunzo ya programu hii yenye lengo la kuwajengea uwezo wanawake waweze kushika nafasi za juu za uongozi na kuwapa uwezo wa kuingia kwenye bodi na kushiriki katika kutoa maamuzi. - Mhe. Waziri Mkuu #ALC2023
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Ninatambua vikwazo mbalimbali vinavyopunguza ushiriki wa wanawake katika kushiriki fursa za kidijitali kama vile kukosa maarifa na ujuzi wa namna ya kushiriki ikiwemo gharama kama vile data na vifaa vinavyoweza kuwaunganisha na ulimwengu wa dijitali. – Mhe. Waziri Mkuu #ALC2023

Ninatambua vikwazo mbalimbali vinavyopunguza ushiriki wa wanawake katika kushiriki fursa za kidijitali kama vile kukosa maarifa na  ujuzi wa namna ya kushiriki ikiwemo gharama kama vile data na vifaa vinavyoweza kuwaunganisha na ulimwengu wa dijitali. – Mhe. Waziri Mkuu #ALC2023
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Ukuaji wa fursa za kidigitali na kiuchumi zinaenda na ukuaji wa huduma za kifedha za kidijitali. Kwa takwimu ambazo zilitolewa na Benki Kuu ya Tanzania mwaka 2019 zaidi ya nusu ya watanzania walikuwa ni watumizi hai wa huduma za simu za mikononi. - Mhe. Waziri Mkuu

Ukuaji wa fursa za kidigitali na kiuchumi zinaenda na ukuaji wa huduma za kifedha za kidijitali. Kwa takwimu ambazo zilitolewa na Benki Kuu ya Tanzania mwaka 2019 zaidi ya nusu ya watanzania walikuwa ni watumizi hai wa huduma za simu za mikononi. - Mhe. Waziri Mkuu
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Nawapongeza Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kwa mafanikio haya makubwa ya kutoa mfunzo kwa Wanawake kutoka kampuni mbalimbali katika Awamu hizi Nane za Programu hii ya Mwanamke Kiongozi. Ahsanteni sana, Kazi iendelee. - Mhe. Waziri Mkuu #ALC2030 #FutureFemaleTz #ATETanzania

Nawapongeza Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kwa mafanikio haya makubwa ya kutoa mfunzo kwa Wanawake kutoka kampuni mbalimbali katika Awamu hizi Nane za Programu hii ya Mwanamke Kiongozi. Ahsanteni sana, Kazi iendelee. - Mhe. Waziri Mkuu #ALC2030 #FutureFemaleTz #ATETanzania
Ambassador Tone Tinnes (@norambtz) 's Twitter Profile Photo

Gender inclusion is good for 🔷business 🔷 innovation 🔷 digital transformation It requires our time, attention and concerted efforts. That’s why Norway 🇳🇴 is a proud supporter of Association of Tanzania Employers(ATE) 🇹🇿 & the Female Future program! NHO Norad

Gender inclusion is good for 
🔷business
🔷 innovation 
🔷 digital transformation 

It requires our time, attention and concerted efforts. That’s why Norway 🇳🇴 is a proud supporter of <a href="/ATE_Tanzania/">Association of Tanzania Employers(ATE)</a> 🇹🇿 &amp; the Female Future program! 

<a href="/NHO_no/">NHO</a>  <a href="/noradno/">Norad</a>
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), jana Jumatano, tarehe 31 Mei 2023, kilishiriki uzinduzi wa Mradi wa ANAWEZA:SHE CAN unaoratibiwa na IFC wenye lengo la kuongeza fursa kwa wanawake sehemu za kazi na kwenye uchumi. IFC Africa IFC

Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), jana Jumatano, tarehe 31 Mei 2023, kilishiriki uzinduzi wa Mradi wa ANAWEZA:SHE CAN unaoratibiwa na IFC wenye lengo la kuongeza fursa kwa wanawake sehemu za kazi na kwenye uchumi. 
<a href="/IFCAfrica/">IFC Africa</a> <a href="/IFC_org/">IFC</a>
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mgeni Rasmi katika Uzinduzi huu uliofanyika jijini Dodoma alikuwa ni Mhe. Dr. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyewakilishwa na Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (MB), Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu.

Mgeni Rasmi katika Uzinduzi huu uliofanyika jijini Dodoma alikuwa ni Mhe. Dr. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyewakilishwa na Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (MB), Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu.
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Waziri Dr. Dorothy Gwajima aliambatana na Mhe. Riziki Juma Pembe (Mb), Waziri wa Maendelea ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Zanzibar pamoja na Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb).

Mhe. Waziri <a href="/Dr_DGwajima/">Dr. Dorothy Gwajima</a> aliambatana na Mhe. Riziki Juma Pembe (Mb), Waziri wa Maendelea ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Zanzibar pamoja na Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb).
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Today 27th July 2023, the ATE CEO, Ms. Suzanne Ndomba - Doran accompanied by Ms. Anabahati Mlay, Senior Programs Officer had a meeting with ESAMI Director General, Prof. Martin M. Lwanga who was accompanied by Prof. Leon Malisa and Dr. Lucky Yona at ESAMI headquarters in Arusha.

Today 27th July 2023, the ATE CEO, Ms. Suzanne Ndomba - Doran accompanied by Ms. Anabahati Mlay, Senior Programs Officer had a meeting with ESAMI Director General, Prof. Martin M. Lwanga who was accompanied by Prof. Leon Malisa and Dr. Lucky Yona at ESAMI headquarters in Arusha.
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

The meeting was essential in strengthening the partnership between the two Institutions and for the growth and prosperity of the Female Future Programme, which ATE is partnering with ESAMI.

The meeting was essential in strengthening the partnership between the two Institutions and for the growth and prosperity of the Female Future Programme, which ATE is partnering with ESAMI.
Association of Tanzania Employers(ATE) (@ate_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Since it’s Launch in 2016, ATE has worked with ESAMI to deliver the Female Future Tanzania in Tanzania with an objective in increasing the number of women in decision making processes as well as adding to the efforts to achieving gender equality in top leadership positions

Since it’s Launch in 2016, ATE has worked with ESAMI to deliver the <a href="/femalefuture_tz/">Female Future Tanzania</a> in Tanzania with an objective in increasing the number of women in decision making processes as well as adding to the efforts to achieving gender equality in top leadership positions