Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile
Dr. Fatema Juma

@fatemajuma17

Clinical Nutritionist, Fitness Trainer & Women’s Hormonal Health Specialist - PCOS Coach - 80 PCOS Babies - #DaktariWaLisheWaDar

ID: 1283715510

calendar_today20-03-2013 16:44:17

279 Tweet

869 Followers

24 Following

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Dalili za ugonjwa wa sukari 1. Kiu inabana sana 2. Kutamani sukari kupitiliza 3. Ku kojoa kila mara 4.njaa ya kupitiliza 5.uzito kupungua ghafla Jikinge!! - badilisha mitindo ya maisha yako!

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#DADAZ : Daktari #fatema.juma17 anasema kipindi cha miaka ya nyuma ilizoeleka kukoma kwa hedhi ni kwa wanawake ambao umri umekwenda kidogo, miaka 55 au 60 lakini kwa sasa hata wale wenye miaka 35 wanapata changamoto ya kukoma kwa hedhi (Menopause ) Host: Bhoke Nia Egina & Guest :

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#DADAZ : Wakati watu wengi wanashangaa inawezekanaje Mwanamke mwenye umri wa miaka 35 akapata dalili za ukomo wa hedhi, Daktari #fatema.juma17 ameweka wazi sababu hizo na moja wapo ni kula hovyo. Host: Bhoke Nia Egina & Guest : #fatema.juma17 #EastAfricaTV #HainaKuchoka #Jibooosti

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#DADAZ : Ukiachana na nimechoka na leo sijisikii Daktari #fatema.juma17 ameweka wazi kuwa, kukosa hamu ya tendo la ndoa ni moja wapo ya dalili ya kukoma kwa hedhi. Host: Bhoke Nia Egina & Guest : #fatema.juma17 #EastAfricaTV #HainaKuchoka #Jibooosti #AirtelMoneySuperBonus

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Leo ni #SikuYaMenopause! 🌸 Menopause ni hatua ya asili kwa wanawake na huja na mabadiliko ya homoni. Ni muhimu kuelewa kipindi hiki na kupata msaada. 💪 #AfyaYaWanawake

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Kama una taka kujenga afya yako mazoezi ni kitu muhimu sana. Fanya mazoezi kwa dk 30/45 kila siku. Epuka ugonjwa mbali mbali na lishe bora na mazoezi ya kutosha 💪🏻

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Hello wabongo!! -ushauri wa lishe kwa leo Anza siku yako na Mayai 🥚 Mayai yana protini 6gm, unaweza kula ata 4 Mayai hayana madhara yeyote Ya kenyeji ni bora Zaidi. Kwaheri 🥚💪🏻

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Fanya mazoezi na daktari wenu wa lishe !! Kama hujawahi kufanya mazoezi haya hapa ni vizuri kwa beginners Tutajenga afya pamojaa!! #afyanimtu #eatv

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Habari zenu!! Fanya mazoezi haya kwajili ya upper body 1. Kuimarisha misuli 2. Kuboresha mkao wa mwili 3. Kuongeza nguvu na uvumilivu 4. Kuboresha mzunguko wa damu 5.kuchoma kalories na mafuta mwilini 6.kuongeza kujiamini Pamoja tutajenga afya yetu 💪🏻 Daktari wenu wa

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Watanzania - Je, umewahi kukaa na kufikiria kwa nini sisi huwa wahanga wa majaribio ya makampuni makubwa ya dawa au mashirika mengine ya kutengeneza pesa? Ni kwa sababu tunafuata kwa upofu chochote ambacho mtu tajiri anatwambia. #tuamke #afya #bist100

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

I have been Nominated by African Golden Awards in the category of AFRICA GOLDEN TOP FEMALE FITNESS INFLUENCER. Check out my nomination here: africagoldenawards.co/nominee?nomine… africagoldenawards.co/nominee?nomine…

Dr. Fatema Juma (@fatemajuma17) 's Twitter Profile Photo

Kunywa chai ya tangawizi asubuhi kutakutibu magonjwa yote – kweli au uongo? Watu wengi wanaamini dawa za asili bila uthibitisho wa kisayansi. Tujadili: Je, tiba za asili ni bora kuliko tiba za hospitali?”