Unajiuliza amekosa Nini mpaka ahangaike kupigania watu Wengine,Kama ni nyumba nzuri anayo Mke mzuri Anae watoto magari na kadhalika,Unagundua kuwa nchi hii inahitaji watu watakao umia Kwa ajili ya Wengine,Watu watakao pigwa Kwa ajili ya Wengine,
Retweet 2000 Kwa Heshima kwake
Martin Masese alikuwa akimnadi Mbowe wakati wa uchaguzi wa chama Wala hakujificha,Baada ya uchaguzi kumalizika aliendelea na kazi ya kupambana na CCM bila kuweka kinyongo,Leo hii wamehama waliokuwa na mapenzi na mbowe yeye amebaki Amechagua uhai wa chama
tumpe retweet 1000
Kwa hali ya Kiusalama iliyopo Nchini kwa sasa.
Utekaji wa wakosoaji na Upotezaji wa watu Ukiniuliza sababu za Tanganyika kudai Uhuru na Kujitawala sidhani kama nitakuwa na Jawabu sahihi.
Hata wakoloni na tamaa zao hawakuwahi kuwa na Kiu ya Damu za wakosoaji wao kwa kiwango
Triste destinée pour cette jeune femme 💔😭:
AVANT : elle était une footballeuse professionnelle et vivait de sa passion ⚽️
MAINTENANT : après un accident, qui lui a fait perdre l'usage de ses deux jambes, elle vit désormais à la maison, avec beaucoup de tristesse et d'espoir 😢
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 186
ASP Geofrey Lutufye : Ni kweli yangu.
Mhe. Lissu: Ni sheria gani inayosema ni kosa la jinai?
ASP Geofrey Lutufye : Siwezi kujua.
Mhe. Lissu: Sasa ulienda kukamata watu kwa kosa gani walilofanya wakati hujui kosa lao? Ulienda kuwakamatia
MPANGO NA SHERIA YEYOTE INAYOTUNGWA KWANJIA NA SABABU ZA KIBAGUZI NI UVUNJAJI WA SHERIA ,KATIBA NA MIKATABA YA KIMATAIFA.
Huwezi kuzungumzia kupatanisha kampuni mbili za kigeni ili zibaki kufaidi Ngorongoro halafu wakati huohuo ufikirie eti kutafuta suluhisho la kisheria kwa
Umeandika blah blah nyingi sana humu na viuongo unavyovipush kuwa ukweli.
Kama kitu hujui uliza, huwezi kuuliza ...kaa kimya, hiyo nayo ni hekima.
Unasema Yesu hakuwa mkristo...sasa anakuwaje Mkristo wakati yeye ndio Kristo mwenyewe. Hilo neno "mpakwa mafuta" Masihi" ndio
Mnatesa watu wengine kwa kuwaweka gerezani kwa mashtaka ya uongo na kughushi, kuwateka na kuwapoteza. Mnatembea VX.R V8 full kipupwe, lakini mkishtuka moyo kidogo tu, mnadedi papo kwa papo kama mshumaa. Hivi ninyi mngeliweza kuishi gerezani siku 350 kwa kusingiziwa? Takbīr.
Kuna hii twit ya Mtumishi Mungu Godbless lema ya jana , akizungumzia mambo ya sex kabla ya ndoa na baada ya Ndoa, hiyo twit haikuwa na maana hiyo , maana yake ni hii hapa
Ni kwamba tupate katiba mpya kwanza ndo malidhiano yafanyike na pili tufanye malidhiano kwanza ndo tupate