Exquisite (@exquisite861) 's Twitter Profile
Exquisite

@exquisite861

ID: 1876534297567383552

calendar_today07-01-2025 07:40:45

143 Tweet

172 Takipçi

1,1K Takip Edilen

SAMKICHEKO (@samuelmway) 's Twitter Profile Photo

Wanangu wa kubeti leo Mapema tu hakuna kuchoka kama una mkeka wako udondoshe apo wadau wauchambue vipi nani Mchawi hapo tumtoe mapema Yanga mnamuonaje ?

Wanangu wa kubeti leo Mapema tu hakuna kuchoka kama una mkeka wako udondoshe apo wadau wauchambue  vipi nani Mchawi hapo tumtoe mapema Yanga mnamuonaje ?
Latto 𝕏 (@rydx_017) 's Twitter Profile Photo

Siskiliza uwezo wa Rayvanny wa Ku-remix, nyimbo live... Mwamba anaenda na Flow tu.. Yani ni Freestyle.... Video kwa Comments 👇

Siskiliza uwezo wa Rayvanny wa Ku-remix, nyimbo live...

Mwamba anaenda na Flow tu..

Yani ni Freestyle....

Video kwa Comments 👇
Exquisite (@exquisite861) 's Twitter Profile Photo

Exquisite SIRI ZA UCHAWI KUTOKA KWA MGANGA WA KIENYEJI MZEE Kila nikipata nafasi ntakuwa natupia Siri apa LEO NTAKUFUNDISHA Jinsi Ya Kushinda Mashambulizi Ya Uchawi Na Nia Ovu Dhidi Yako. Ntakufundisha Kutokea kwenye Uzoefu Practically, Shuka Na Uzi

<a href="/exquisite861/">Exquisite</a> 
SIRI ZA UCHAWI KUTOKA KWA MGANGA WA KIENYEJI MZEE
Kila nikipata nafasi ntakuwa natupia Siri apa

LEO NTAKUFUNDISHA
Jinsi Ya Kushinda Mashambulizi Ya Uchawi Na Nia Ovu Dhidi Yako.
Ntakufundisha Kutokea kwenye Uzoefu 
Practically, 
Shuka Na Uzi
Exquisite (@exquisite861) 's Twitter Profile Photo

Kila siku ntakuwa natupia Siri za Maisha apa, na nakuhakikishia itakuwa Huru kweli kweli Ili usipitwe, Like, repost, follow Mi si mchoyo I follow back

Kila siku ntakuwa natupia Siri za Maisha apa, na nakuhakikishia itakuwa Huru kweli kweli
Ili usipitwe, Like, repost, follow
Mi si mchoyo
I follow back
Exquisite (@exquisite861) 's Twitter Profile Photo

Wachawi washenzi Sana, Watakuvuta Kwa level zao ili wakushinde Tengeneza level Yako Back kwenye level Yako hawakupati Kabisa,

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

Mdogo wangu SATIVA17 najua unaelewa arts of betting. Mhe. Tundu Antiphas Lissu kapewa odds nyingi dhidi ya Mhe. Freeman Mbowe Maana yake chance ya Mhe. Lissu ni ndogo. Niliishaachaga kuBet lakini nitaweka mzigo wa kutosha

Mdogo wangu <a href="/Sativa255/">SATIVA17</a> najua unaelewa arts of betting. 

Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> kapewa odds nyingi dhidi ya Mhe. <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a> 

Maana yake chance ya Mhe. Lissu ni ndogo. 

Niliishaachaga kuBet lakini nitaweka mzigo wa kutosha
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

KUMRADHI: Jambo Television imepokea mrejesho kuhusu maudhui yaliyochapishwa kwenye mitandao yake ya kijamii ya Instagram na X kumhusu aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Godfrey Mheluka yenye kichwa cha habari "MAHAKAMA IMETOA HATI YA KUKAMATWA ALIYEWAHI KUWA DC KARAGWE"

KUMRADHI:

Jambo Television imepokea mrejesho kuhusu maudhui yaliyochapishwa kwenye mitandao yake ya kijamii ya Instagram na X kumhusu aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Godfrey Mheluka yenye kichwa cha habari "MAHAKAMA IMETOA HATI YA KUKAMATWA ALIYEWAHI KUWA DC KARAGWE"
Ngadu (@1ngadu1) 's Twitter Profile Photo

Katibu wa BASATA anasema kuwa wananchi waache kuwasema vibaya wasanii wanaoshiriki kwenye majukwaa ya kisiasa hasa kwa chama cha mapinduzi kwamba wanatumika vibaya kisiasa kitu ambacho siyo kweli kwasababu kila chama kina mfumo wake katika shughuli zake za kisiasa.

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Mm mnanichanganya pale ambapo mnaanza kunipika alafu mnamalizia na UTANI… Njoeni FULL FORCE nijue moja.. Kila mtu atapikwa humu ni swala la muda tu!