KDM ♐ (@ercurrytz0) 's Twitter Profile
KDM ♐

@ercurrytz0

KindnessMan #SinaBirthday

ID: 1777060783433601025

calendar_today07-04-2024 19:48:35

2,2K Tweet

1,1K Takipçi

1,1K Takip Edilen

ChichaMandi (@jumaallimwiguru) 's Twitter Profile Photo

Dear Son, Usimguse Mwanamke Aliyeolewa,Usitongoze Kazini Kwako,Usikae Karibu Na Ex Wa Rafiki Yako,Usijiburudishe Na Single Mama,Usimuangalie Mara 2 Mwanamke Wa Kaka Yako,Usikimbizane Na Wanawake Wazee,Usilale Na Mwanamke Usiemuamini..! Usiku Mmoja Unaweza Kukuharibia Hatma Yako

BlackMan🦍 (@lusekeloworld) 's Twitter Profile Photo

Hata Maamuzi Sahihi Yanaweza Kuwa Sio Sahihi Kama Ukichelewa Kuyachukua, Unaweza Kudhani Unasubiri kumbe UNAPOTEZA MUDA ✍️

ChichaMandi (@jumaallimwiguru) 's Twitter Profile Photo

Sex Unaweza Kupata Sehem Yeyote Hilo Si Jambo La Ajabu Tena.Lakini Msaada Wa Kweli,Urafiki Wa Dhati,Kicheko Cha Kweli,Mazungumzo Ya Kina Na Uaminifu Usiotiliwa Shaka Ni Vitu Adimu Sana. Ukipata Mtu Kama Huyo,Anayekupa Yote Hayo Kwa Moyo Wa Dhati,Usimwache.Mthamini Na Muenzi.

MUDI FOOD FACTORY (@mudimabiriani) 's Twitter Profile Photo

Kwenda Jeshi kwa Mujibu wa Sheria ni kupoteza tu Mda, haina ata faida ni kutesa watoto tu, bora wabaki mtaani hiyo miezi mitatu wajifunze Skills za Maisha

M a n o t i (@madeinmusoma) 's Twitter Profile Photo

Leo, DOMINIKA YA 23 YA MWAKA C, mafundisho ya kanisani yametufundisha kuwa imani ya kweli inahitaji ujasiri wa kuacha vyote na kumfuata Kristo kwa moyo thabiti. 🙏

Timber TZA (@timbertzaa) 's Twitter Profile Photo

Ukiwa na mpenzi wako, halafu ukapigiwa simu namba ngeni, hakikisha unaipokea kwa upande wa pili wa simu huku ukiipunguzia sauti

Deeeee (@oluowl) 's Twitter Profile Photo

Linda utulivu wako. Siyo kila mtu anastahili kufikia nguvu zako. Tembea kwa makusudi, sema kwa nia, na ukue kimya kimya🤐😎😎 Have blessed 🙌 Sunday