ISIYO KONGWE HAIVUSHI. (@yussuf2m) 's Twitter Profile
ISIYO KONGWE HAIVUSHI.

@yussuf2m

Let peoples decide,not police force.

ID: 889445677

calendar_today18-10-2012 18:13:39

320 Tweet

314 Followers

476 Following

Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Makamo Mwenyekiti wa chama ACTWazalendo Juma Duni Haji ameenda kutowa mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu Nd.Mussa Haji Mussa aliyepigwa risasi nne na askari wa vikosi vya SMZ tarehe 29/10/2020 majira ya saa 3:00 za asubuhi huko nyumbani mwao Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Makamo Mwenyekiti wa chama  <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Juma Duni Haji ameenda kutowa mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu Nd.Mussa Haji Mussa aliyepigwa risasi nne na askari wa vikosi vya SMZ tarehe 29/10/2020 majira ya saa 3:00 za asubuhi huko nyumbani mwao Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Moyo wa TAIFA ™️ (@bajabiri) 's Twitter Profile Photo

Wamarekani huenda ni wachawi. Wanawezaje kumtoa RAIS aliyeko madarakani kwa #BallotPaper? Isije ikawa jamaa wanaigiza Movie kama ile ya White House Down sie tunadhani wanafanya kweli. Yaani rais ana NASA,Homeland,CIA,FBI,POLISI,JESHI na bado anakaa TERM 1 ...inawezekanaje?

Wamarekani huenda ni wachawi.
Wanawezaje kumtoa RAIS aliyeko madarakani kwa #BallotPaper?
Isije ikawa jamaa wanaigiza Movie kama ile ya White House Down sie tunadhani wanafanya kweli.
Yaani rais ana NASA,Homeland,CIA,FBI,POLISI,JESHI na bado anakaa TERM 1 ...inawezekanaje?
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Hivi mmegundua wenye akili CCM hawawezi kutumia akaunti yao yenye majina na picha zao halisi kuja kutetea dhulma na utesaji? Ni ma-bots tu na baadhi ya low-level cadres wasiokuwa na uelewa! Mnajua kwa nini? Kwa sababu tofauti na kiongozi wao mkuu wanajua CONSEQUENCES za hizi!

Democracy is commitment (@allysalehznz) 's Twitter Profile Photo

Huwezi kuniita nije kwenye meza ya mazungumzo kutafuta suluhu ukiwa umeshikilia watu wangu, umenifunga mikono, umenifunga kitambaa usoni na nilipo sipajui...Nitakuja nikiwa huru, watu wangu hawashikiliwi na tunapokutania tuamue sote na kwa ajenda tulokubaliana Ally Saleh, 1800

Rashid Abdallah (@rashiidabdallah) 's Twitter Profile Photo

Vyombo vya habari vimekubali upuuzi wa kuifanya serikali pekee ndio chanzo cha taarifa. Vyama vya siasa vinapotoa ripoti za watu kuuwawa na kupigwa Z'bar, hakuna gazeti wala tv inayotoa ripoti hizo. Hufanya hvyo kwa kuogopa utawala. Ila ni aibu kubwa kwa taaluma ya habar.

Mr Never (@mrnever4) 's Twitter Profile Photo

Hassan Khamis 🇵🇸 Chama Cha Mapinduzi Suali linakuja, 1) kwnn wang"ang'anie na kuilazimisha ZNZ kubaki ktk muungano? 2) Kuilazimisha ZNZ kubak ktk muungano wakat hamtend haki Kuna umuhim gani? 3)Ni ipi faida itokanayo na muungano kwa upande wa ZNZ? 4) Suala la muungano Ni hiari au lazima? 5) nini khatma ya ZNZ?

ahmed rajab (@ahmedrajab) 's Twitter Profile Photo

Thibitisho zaidi kwamba huu si Muungano uliosimama juu ya misingi ya haki, usawa na kuheshimiana. Ni dharau ya hali ya juu kwa Wazanzibari. Stahili yatufike kwa kutokuwa na umoja.

Averroes (@arushawi) 's Twitter Profile Photo

ahmed rajab This move by ACT is driven more by the prosaic need to survive as a party. The reference to reconciliation is a craven attempt at giving a highfalutin gloss to what is calculated political move.The idea that CCM will punish its myrmidons for electoral violence is phantasmagoria!

Hilmi Hilal (@hilmihilal88) 's Twitter Profile Photo

Kiongozi mbovu kuwahi kutokea katika historia ya Zanzibar. Kafeli kwenye siasa, michezo, afya, elimu kwenye uchumi ndo usiseme. Kafanikiwa kujenga chuki, hasama na kutugawa.!

Kiongozi mbovu kuwahi kutokea katika historia ya Zanzibar. Kafeli kwenye siasa, michezo, afya, elimu kwenye uchumi ndo usiseme. Kafanikiwa kujenga chuki, hasama na kutugawa.!
Kityojuike (@kityojuike) 's Twitter Profile Photo

RECUR Yaani kipolepole kama ningekuwa mchawi ningekuwa nakunywa maji kila usiku na kila ahsubuhi anayakukuta mdomoni , mbwa huyu