Willy (@wilbright_jr) 's Twitter Profile
Willy

@wilbright_jr

Commissioner for Oaths/ Notary Public/ Corporate/Conveyancing/Wildlife Lawyer/ManU Fan/Young African Fan/ Father /Entrepreneur

ID: 884656824628252672

calendar_today11-07-2017 06:13:17

173,173K Tweet

66,66K Followers

23,23K Following

The ChandO (@sadicktusia) 's Twitter Profile Photo

Kama unaitaji laptop za Bei kubwa usifungue huu UZI🙌 humu kuna list za laptop vitonga kutoka DUBAI kuanzia Laki mbili Tu…

Kama unaitaji laptop za Bei kubwa usifungue huu UZI🙌 humu kuna list za laptop vitonga kutoka DUBAI kuanzia Laki mbili Tu…
MUDI FOOD FACTORY (@mudimabiriani) 's Twitter Profile Photo

REPOST YAKO 🙏🏿❤️ #mapambanoyanaendelea #kukoseandokujifunza #atafutaehachoki #Biasharainakupatanakukosa #KujengaBRANDunahitajimoyowaplastic

REPOST YAKO 🙏🏿❤️

#mapambanoyanaendelea
#kukoseandokujifunza
#atafutaehachoki
#Biasharainakupatanakukosa
#KujengaBRANDunahitajimoyowaplastic
Azam TV (@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

#BreakingNews Yanga bingwa wa NBC Premier League 2024/25 ikiwa ni mara ya nne mfululizo…na ni ubingwa wake wa 31. Ni baada ya kumpiga mtani wake Simba na kuhitimisha msimu ikiwa na alama 82 kileleni….. Nafasi ya pili ni ya Simba… Je, dabi ilikuwa na kipengele…???? FT:

#BreakingNews Yanga bingwa wa NBC Premier League 2024/25 ikiwa ni mara ya nne mfululizo…na ni ubingwa wake wa 31. 

Ni baada ya kumpiga mtani wake Simba na kuhitimisha msimu ikiwa na alama 82 kileleni…..

Nafasi ya pili ni ya Simba…

Je, dabi ilikuwa na kipengele…????

FT:
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Ufanisi katika ukusanyaji wa mapato bila matumizi sahihi ni sawa na kujaza ndoo yenye matundu. Tuulize: TRA inakusanya Sh. bil. 637.60 lakini kwa nini miradi haitekelezwi? Soma zaidi 👇🏼 #RaiaMakini policy forum Wajibu_Institute

Ufanisi katika ukusanyaji wa mapato bila matumizi sahihi ni sawa na kujaza ndoo yenye matundu. Tuulize: 
TRA inakusanya Sh. bil. 637.60 lakini kwa nini miradi haitekelezwi?
Soma zaidi 👇🏼
#RaiaMakini
<a href="/policy_F/">policy forum</a> <a href="/InstituteWajibu/">Wajibu_Institute</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Tiba ya upandikizaji uloto (Allogeneic Stem Cell Transplant) imekuwa mkombozi kwa watoto 21 waliopatiwa huduma hiyo hadi sasa. Tiba hii hulenga kuondoa seli mbovu za damu na kupandikiza seli mpya kutoka kwa mtoaji mwenye afya. #RaiaMakini policy forum Wajibu_Institute

Tiba ya upandikizaji uloto (Allogeneic Stem Cell Transplant) imekuwa mkombozi kwa watoto 21 waliopatiwa huduma hiyo hadi sasa. Tiba hii hulenga kuondoa seli mbovu za damu na kupandikiza seli mpya kutoka kwa mtoaji mwenye afya.
#RaiaMakini
<a href="/policy_F/">policy forum</a> <a href="/InstituteWajibu/">Wajibu_Institute</a>
The ChandO (@sadicktusia) 's Twitter Profile Photo

Model ;Dell Latitude 5410✅ Corei5✅Ram 8GB✅Ssd 256GB✅Processor 1.8GHz to turbo 3.7GHz🫵 Backlight keyboard✅Kioo inch 14✅Silver in color✅Batter 4 to 6 hrs✅Slim and 4K resolution✅ Generation 10 th Price 700,000 tsh Generation 8 th Price 665,000 tsh ☎️0719044838☎️

Model ;Dell Latitude 5410✅

Corei5✅Ram 8GB✅Ssd 256GB✅Processor 1.8GHz to turbo 3.7GHz🫵
Backlight keyboard✅Kioo inch 14✅Silver in color✅Batter 4 to 6 hrs✅Slim and 4K resolution✅

Generation 10 th Price 700,000 tsh 
Generation 8  th Price 665,000 tsh

☎️0719044838☎️