Neema Victor Chisanga (@victor_neema) 's Twitter Profile
Neema Victor Chisanga

@victor_neema

Mgombea Ubunge Jimbo la Momba kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)-2020

ID: 1298639908907765760

linkhttps://instagram.com/mombayetu?igshid=crxakenzn6ue calendar_today26-08-2020 15:15:14

534 Tweet

14,14K Followers

508 Following

AfroHeal (@afroheal) 's Twitter Profile Photo

Wewe hua una sign vipi? Je, unaifahamu Siri iliyoko kwenye signature yako? Thread ndogo 1. Kama wewe unasign kwa kuweka jina tu, wewe ni mtu unajiamini na uko independent kwenye mambo yako. 2. Kama unasign vyovyote lakini kuna jina la ukoo au familia wewe ni mtu unaependa

Wewe hua una sign vipi?

Je, unaifahamu Siri iliyoko kwenye signature yako?

Thread ndogo

1. Kama wewe unasign kwa kuweka jina tu, wewe ni mtu unajiamini na uko independent kwenye mambo yako.

2. Kama unasign vyovyote lakini kuna jina la ukoo au familia wewe ni mtu unaependa
Freeman Mbowe (@freemanmbowetz) 's Twitter Profile Photo

Simiyu Imeitika. Tanzania ni moja kati ya nchi zilizobarikiwa kwa rasilimali bora duniani. Kuendelea kubaki kuwa masikini ni sahihi kusema ni mpango mathubuti kabisa unaofanywa na watawala wetu kwasababu, kwakweli, hakuna sababu ya mikoa ya kanda ya Serengeti kuendelea kubaki

Simiyu Imeitika.
Tanzania ni moja kati ya nchi zilizobarikiwa kwa rasilimali bora duniani. Kuendelea kubaki kuwa masikini ni sahihi kusema ni mpango mathubuti kabisa unaofanywa na watawala wetu kwasababu, kwakweli, hakuna sababu ya mikoa ya kanda ya Serengeti kuendelea kubaki
Neema Victor Chisanga (@victor_neema) 's Twitter Profile Photo

Happy birthday Mh. Waziri Ummy Mwalimu live long. Kwenye mwaka mwingine unaouendea basi hebu jaribu kutembelea jimbo la Momba ujionee hali ilivyo ya kiafya kwa watanzania waishio jimbo ambalo 90% ni vijiji. Nakusihi Mh. Hakika utafanyika baraka.

Happy birthday Mh. Waziri <a href="/ummymwalimu/">Ummy Mwalimu</a> live long. Kwenye mwaka mwingine unaouendea basi hebu jaribu kutembelea jimbo la Momba ujionee hali ilivyo ya kiafya kwa watanzania waishio jimbo ambalo 90% ni vijiji. Nakusihi Mh. Hakika utafanyika baraka.
Mchokozi !! (@olemtetezi) 's Twitter Profile Photo

Chama Chetu Mchana Huu Kinafanya Mkutano Mkubwa Wa Hadhara Huko Sirari, Tarime Vijiji Vipi Chama Chako Leo Kiko Wapi...? Ukitoa CHADEMA, Nchi Hii Kuna Chama Kinachoweza Kufanya Mikutano Nchi Nzima Bila Kusomba Watu Na Malori? Chama Ni CHADEMA Pekee Vingine Takataka!!

Stan (@ngatunga_) 's Twitter Profile Photo

Neema Victor Chisanga Kutaka mabadiliko.. Demokrasia haitakuwa na maana nchinu kama tukiwa ruled na same party always .. Na chadema ndio wenye sera zinazohamasisha mabadiliko.

Stan (@ngatunga_) 's Twitter Profile Photo

Neema Victor Chisanga Na the bad thing ni sisi wananchi tulikaa kimya.... Na ndio huo huo muendelezo wa kutudharau wananchi Hadi leo mafuta ya shida ila ni one is addressing this issue

CHADEMA Tanzania (@chadematz) 's Twitter Profile Photo

Matukio katika picha kikao cha Kamati Kuu ya Chama kikiendelea Jijini Dar Es Salaam leo Septemba 22, 2023, ikiwa ni siku ya pili.

Matukio katika picha kikao cha Kamati Kuu ya Chama kikiendelea Jijini Dar Es Salaam leo Septemba 22, 2023, ikiwa ni siku ya pili.
Jon Mrema (@jonmrema) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe Yuko njiani kuelekea Mbeya Kwa ajili ya kukutana na Viongozi wa Jeshi l Polisi Mbeya ili kufuatilia;Hatima ya Viongozi waliokamatwa na kujua walipo na Hali zao kiafya . Tutawapa taarifa zaidi akifika uwanja wa ndege Mbeya .

Jon Mrema (@jonmrema) 's Twitter Profile Photo

Press conference: CHADEMA Leo saa sita na nusu mchana tutafanya kikao na waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Chama Mikocheni. Waandishi wote mnakaribishwa

AfroHeal (@afroheal) 's Twitter Profile Photo

Wakati ukiwa unaumwa vitu viwili vilazimishe ubaki navyo mda wote... 1. Hakikisha Amani ya moyo wako unailinda na wala haitakiwi kutegemea kitu wala mtu. 2. Imani kwamba utapona bila kujali madaktari au watu wanasemaje kuhusu unachoumwa.

Freeman Mbowe (@freemanmbowetz) 's Twitter Profile Photo

Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama

Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama