Purity Unique Prosper (@unique_maringo) 's Twitter Profile
Purity Unique Prosper

@unique_maringo

ID: 928601509251764224

calendar_today09-11-2017 12:33:47

1,1K Tweet

77 Followers

66 Following

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

🚨‼️ Amepatikana!‼️ Wazalendo asanteni sana naona wamesema anaitwa GEORGE BAGYEMU (WILBAD) Namba yake hiyo hapo Ni msaidizi wa Mafwele kumbe! Deputy ZCO! 🤪 Ila hii jina - ni mhaya au ni wale ndugu zetu jirani waliochomekewa!? Kuna mdau anasema aliwahi kuwa hata Mwanza na

🚨‼️ Amepatikana!‼️
Wazalendo asanteni sana naona wamesema anaitwa GEORGE BAGYEMU (WILBAD)
Namba yake hiyo hapo 
Ni msaidizi wa Mafwele kumbe! Deputy ZCO! 🤪
Ila hii jina - ni mhaya au ni wale ndugu zetu jirani waliochomekewa!? Kuna mdau anasema aliwahi kuwa hata Mwanza na
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Mliokuwa mnashabukia UFEDHULI na UKATIli wa polisi jana mahakamani - yamewashuka Shuu! Ilooooo yaone! Tuyazomeee! Haya Mahakama imesema hakuna amri yoyote na wananchi wasizuiwe kuingia mahakamani! Mtafuteni huyo George leo aliamka mapema kuzuia watu yamemkuta 😀 Libaba lizima

Mliokuwa mnashabukia UFEDHULI na UKATIli wa polisi jana mahakamani - yamewashuka Shuu!
Ilooooo yaone! Tuyazomeee!
Haya Mahakama imesema hakuna amri yoyote na wananchi wasizuiwe kuingia mahakamani! Mtafuteni huyo George leo aliamka mapema kuzuia watu yamemkuta 😀 Libaba lizima
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Mafwele 🙄👇🏾 Someni modus operandi yake - katika genge lake wapo pia wahalifu sugu na huko Mwanza wameteka sana wafanyabiashara na ku demand pesa So mtu asiwachanganye watekaji wanaodai pesa na hawa wanaoteka wakosoaji wa mama ni genge moja and all fingers point back at Mafwele!

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

#NIPENI_MAUA_YANGU💐 MANGE KIMAMBI Alifaya Yote Hayo Pale INSTAGRAM Influence Yake Nikubwa Sana Wafuasi Wengi Wa Mange Ni GEN Z Ili Kuweza Kuwaweka Gen Z Kwenye SIASA Ilimlazmu MANGE Aache Kupost UMBEA Adili Na Siasa Tu! Tukashuhudia NRNE Ikisambaa Kwakasi Ya Ajabu Akatafuta Na Mtu Wakukiwasha Tiktok

<a href="/Roma_Mkatoliki/">#NIPENI_MAUA_YANGU💐</a> MANGE KIMAMBI Alifaya Yote Hayo Pale INSTAGRAM Influence Yake Nikubwa Sana Wafuasi Wengi Wa Mange Ni GEN Z Ili Kuweza Kuwaweka Gen Z Kwenye SIASA Ilimlazmu MANGE Aache Kupost UMBEA Adili Na Siasa Tu! Tukashuhudia NRNE Ikisambaa Kwakasi Ya Ajabu Akatafuta Na Mtu Wakukiwasha Tiktok
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

“Waheshimiwa majaji wa Mahakama Tukufu, mimi Tundu Antipas Lissu ni Mtanzania Mtiifu kwa Nchi yangu. Maneno yaliyosomwa hapo ni yangu, niliyasema mimi mwenyewe kwa kinywa changu. Lakini,hakuna hata neno moja ambalo ni kosa la jinai. Mimi ni mpinzani, ninapinga Serikali" Tundu

“Waheshimiwa majaji wa Mahakama Tukufu, mimi Tundu Antipas Lissu ni Mtanzania Mtiifu kwa Nchi yangu. Maneno yaliyosomwa hapo ni yangu, niliyasema mimi mwenyewe kwa kinywa changu. Lakini,hakuna hata neno moja ambalo ni kosa la jinai. Mimi ni mpinzani, ninapinga Serikali" 

Tundu
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Kiduku amekuwa nasi bega kwa bega kudai haki. Tulipokesha kuonesha mshikamano na wf/biashara wa Kariakoo majengo yalipobomoka, au Kanisa la Gwajima lilipovamiwa na polisi, Kiduku alikuwa nasi. Kila siku anadai haki ya Lissu. Tusimame naye. Tudai uhuru wake. #FreeKiduku

SATIVA TIPS (@sativatips17) 's Twitter Profile Photo

Kuna mtu amefungua account na anajiita @sativa2555 huyu sio mimi. NAOMBA MSHTUE NA MWENZIO KUWA HUYU NI TAPELI. NISAIDIENI KUREPORT HII ACCOUNT YA SATIVA17 kwa wingi sana. Account yangu kuu ya SATIVA17 INARUDI tuendelee kuwa wapole. Kwasasa napatikana FACEBOOK & IG.

Kuna mtu amefungua account na anajiita @sativa2555 huyu sio mimi.

NAOMBA MSHTUE NA MWENZIO KUWA HUYU NI TAPELI.

NISAIDIENI KUREPORT HII ACCOUNT YA <a href="/Sativa2555/">SATIVA17</a>  kwa wingi sana.

Account yangu kuu ya <a href="/Sativa255/">SATIVA17</a>  INARUDI tuendelee kuwa wapole. Kwasasa napatikana FACEBOOK &amp; IG.
Reuben Lukumay ole CDM (@reubenlukumay) 's Twitter Profile Photo

Ofsa Ngiri, KIDUDU ametekwa. Wahuni wanamshikilia kwa cyber crime. Stayle wanayotumia kukamata watu ni UTEKAJI. Alafu wanaamua wao kwamba watokomee nae moja kwa moja ama la. Kama inatakiwa nife waniuwe #OCTOBER_29 NITATOKA.

Ofsa Ngiri, KIDUDU ametekwa. Wahuni wanamshikilia kwa cyber crime.  Stayle wanayotumia kukamata watu ni UTEKAJI.  Alafu wanaamua wao kwamba watokomee nae moja kwa moja ama la. Kama inatakiwa nife waniuwe #OCTOBER_29 NITATOKA.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Asante sana mtumishi wa Mungu! Vijana kwa kweli wanatiwa woga na ujinga na CCM eti “kaa kimya pokea tshirt na vijisenti usitukosoe - una maisha mbele” Maisha gani wakati ajira hakuna na familia zao watawala zinaiba mabilioni na kujenga majumba Dubai na Zanzibar? Wakati wanafisadi