✋Trone Brown (@tronebrown) 's Twitter Profile
✋Trone Brown

@tronebrown

Na Follow back 💯

@chelseafc @fcbarcelona @simbasctanzania

Save 4 Save Wa.me/+255746366783 Status View

ID: 1513585151623761923

calendar_today11-04-2022 18:30:16

6,6K Tweet

1,1K Followers

1,1K Following

✋Trone Brown (@tronebrown) 's Twitter Profile Photo

🗣️ Fc Barcelona katika michezo 16 msimu huu 2024-25 imeweza kuwaweka katika mtego wa offside timu pinzani mara 100. Hans Flick ni kocha bora sana, Na marefa nao wanaingia kwenye mtego wa offside 😂😂

🗣️ Fc Barcelona katika michezo 16 msimu huu 2024-25 imeweza kuwaweka katika mtego wa offside timu pinzani mara 100.

Hans Flick ni kocha bora sana,
Na marefa nao wanaingia kwenye mtego wa offside 😂😂
✋Trone Brown (@tronebrown) 's Twitter Profile Photo

𝙝𝙖𝙮𝙖 𝙨𝙖𝙨𝙖 𝙛𝙪𝙩𝙖 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙖𝙣𝙙𝙞𝙠𝙖 𝙨𝙞𝙢𝙗𝙖 𝙗𝙞𝙣𝙜𝙬𝙖😂😂

𝙝𝙖𝙮𝙖 𝙨𝙖𝙨𝙖 𝙛𝙪𝙩𝙖 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙖𝙣𝙙𝙞𝙠𝙖 𝙨𝙞𝙢𝙗𝙖 𝙗𝙞𝙣𝙜𝙬𝙖😂😂
Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

Nadhani bado kuna mkanganyiko mkubwa sana hapa kati ya Developed countries, Developing countries, less developed na underdeveloped. Mimi nakataa kabisa hakuna DEVELOPED COUNTRIES, ukisema nchi imeendelea maana yake hawana wanachokifanya tena, hakuna changamoto tena, Mimi

✋Trone Brown (@tronebrown) 's Twitter Profile Photo

#Kuna_wanawake_wanaojielewa_bhana! Unajua #Gucci_Mane alipokwenda gerezan, alimpa milion 2 mpenz wake #Keyshia, ilikuwa pesa yote aliyokuw nayo iliyosalia. Aliibadilisha kuwa milion 6 na kumrudishia yote alipokuw huru. Anastahil pongez zake 🌺❤️ Mfalme amepat Malkia sahihi👑

#Kuna_wanawake_wanaojielewa_bhana!
Unajua #Gucci_Mane alipokwenda gerezan, alimpa milion 2 mpenz wake #Keyshia, ilikuwa pesa yote aliyokuw nayo iliyosalia. 

Aliibadilisha kuwa milion 6 na kumrudishia yote alipokuw huru. 

Anastahil pongez zake 🌺❤️

Mfalme amepat Malkia sahihi👑
✋Trone Brown (@tronebrown) 's Twitter Profile Photo

Manchester United walicheza vizuri sana kipindi cha kwanza kosa walilofanya ni kurejea kipindi cha pili wangekimbia tu 😂😂😂😭 🏃‍♂️🏃‍♂️ George Ambangile haujazoea tu?

Manchester United walicheza vizuri sana kipindi cha kwanza kosa walilofanya ni kurejea kipindi cha pili wangekimbia tu 😂😂😂😭 🏃‍♂️🏃‍♂️

<a href="/George_Ambangil/">George Ambangile</a> haujazoea tu?