
ELIAZARY YOTHAM
@sir_yotham
MNMA's allumin /counsellor/Mc & advocate for students.
ID: 1192437816724279297
07-11-2019 13:45:22
3,3K Tweet
1,1K Followers
2,2K Following




katibu Mkuu Chadema Mhe.MNYIKA John John akizungumza na wananchi Jijini Mwanza. muda huu. #NoReformsNoElection



Kesho Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Mh. Boniface Jacob atazungumza na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya CHADEMA, Mikocheni Karibuni wote.





Updates Mpaka sasa JAPHET MATARRA amechangiwa TZS. 742,000, tumefikia nusu ya lengo la kupata TZS. 1.5M ili kuwezesha MATARRA afanyiwe matibabu ya Upasuaji kesho.!!! WASIOJULIKANA wamemvunja taya mara 2, Anapitia maumivu makali sana..!! Halopesa: 0627422184 Jina: SAMWELI MATARA.



Happy birthday Msomi Jebra Kambole wewe ni moja kati ya watu wema sana kwenye hii Dunia. Siku ya leo nakuombea Mungu akujalie maisha marefu yenye baraka na amani. Furahia siku yako.🥂






Happy birthday Katibu Mkuu wetu Mhe. MNYIKA John John Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka.


