
Revline Mbugi
@revlinembugi
Naibu katibu mkuu BAVICHA bara 2024-2029.
ID: 1724435497265647616
14-11-2023 14:34:46
910 Tweet
2,2K Followers
700 Following





Mwenyekiti wa Baraza la vijana Taifa Mh Deogratias Mahinyila akiwahutubia wananchi wa singida mjini leo ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya #NoReformsNoElection


S Asanteni Singida Nyumbani kwa Mwenyekiti wetu Tundu Antiphas Lissu #NoReformsNoElection




#BreakingNews watu waliokuwa na visu na mapanga wamevamia mkutano wa Chadema wa leo asubuhi maeneo ya Igunga, Tabora. Watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa Makamu Mwenyekiti Mhe. John Heche wakati unaingia eneo la Mkutano, mlinzi wa Mhe. Heche ameruhiwa. Jeshi la Polisi






Tatizo sio kulinda kura, tatizo ni je, kura za kulinda unazo?๐๐ Opportunist walizani ni rahisi kuchukua nafasi ya Chadema Tanzania but ukweli siku zote unashinda. #NoReformsNoElection


Akiwa gerezani anakosa haki ya kuabudu ikiwa wengine wanapata haki hiyo, anakosa haki ya kuongea na mawakili wake ikiwa ni haki yake "I will defend myself this is about life"Tundu Antiphas Lissu




