Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile
Prisca Kishamba

@priscakishamba

Presenter

ID: 711957821999456259

calendar_today21-03-2016 16:49:07

489 Tweet

1,1K Followers

20 Following

Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile Photo

Washambuliaji wa Simba watenge muda watezame video za Mayele namna anavyowasumhua mabeki na namna anavyofunga,hakika wana kitu cha kujifunza.

Washambuliaji wa Simba watenge muda watezame video za Mayele namna anavyowasumhua mabeki na namna anavyofunga,hakika wana kitu cha kujifunza.
Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile Photo

Hakuna beki yoyote anayeweza kumzuia huyu Striker kwa sasa hapa Africa,.Kwani ana namna zote za kukufunga hata ukiwa na beki wa viwango kwa kiasi gani.

Hakuna beki yoyote  anayeweza kumzuia huyu Striker  kwa sasa hapa Africa,.Kwani ana namna zote za kukufunga hata ukiwa na beki wa viwango kwa kiasi gani.
Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile Photo

Huyu dogo ana kipaji sana namuhitaji popote alipo kama munaweza nikutanisha nae nitashukulu ili nimgungulie dunia. Video ipo kwenye coment.

Huyu dogo ana kipaji sana namuhitaji popote alipo kama munaweza nikutanisha nae nitashukulu ili nimgungulie dunia.

Video ipo kwenye coment.
Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile Photo

Dogo anaitwa ENZO ameondolewa timu ya taifa ya Ufaransa U16 kwasababu za kinidhamu, ikisemekana shida ilianza alipofunga mabao kisha akafunua jezi kuonesha ALLAH IS GREAT hii inatokana na changamoto wanazopitia waislam huko Ufaransa. Chanzo: Farhan Kihamu Jr

Dogo anaitwa ENZO ameondolewa timu ya taifa ya Ufaransa U16 kwasababu za kinidhamu, ikisemekana shida ilianza alipofunga mabao kisha akafunua jezi kuonesha ALLAH IS GREAT hii inatokana na changamoto wanazopitia waislam huko Ufaransa. 

Chanzo: <a href="/FKihamu/">Farhan Kihamu Jr</a>
Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile Photo

Dickson Job, Mchezaji ambaye Simba walikuwa wa kwanza kutambua ubora wake na ndio timu ya kwanza kuwasiliana na Mtibwa ili akakipige makutano ya Uhuru na Msimbazi. Ni makosa kidogo tu ya kiufundi yalitokea na Kijana akaenda Yanga,.

Dickson Job, Mchezaji ambaye Simba walikuwa wa kwanza kutambua ubora wake na ndio timu ya kwanza kuwasiliana na Mtibwa ili akakipige makutano ya Uhuru na Msimbazi. 

Ni makosa kidogo tu ya kiufundi yalitokea na Kijana akaenda Yanga,.
Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile Photo

Baada ya Kibu Denis kurudi kutoka Algeria kramo ameanza kuumwa Tena 😢. Kibu alivyokuwa hayupo Kramo alikuwa mzima na alikuwa anaperform na kufunga kila game za kirafiki alizocheza. Hii inafkirisha sana.

Baada ya Kibu Denis kurudi kutoka Algeria kramo ameanza kuumwa Tena 😢. Kibu alivyokuwa hayupo Kramo alikuwa mzima na alikuwa anaperform na kufunga kila game za kirafiki alizocheza. Hii inafkirisha sana.
Prisca Kishamba (@priscakishamba) 's Twitter Profile Photo

RONALDO NDIO BINADAMU MAARUFU ZAIDI DUNIANI Cristiano Ronaldo mwenye umri wa miaka 39 raia wa Ureno anatajwa kuwa inawezekana akawa ndio binadamu maarufu zaidi duniani.Ndio binadamu mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Unahisi binadamu gani ni maarufu zaidi?

RONALDO NDIO BINADAMU MAARUFU ZAIDI DUNIANI
Cristiano Ronaldo mwenye umri wa miaka 39 raia wa Ureno anatajwa kuwa inawezekana akawa ndio binadamu maarufu zaidi duniani.Ndio binadamu mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Unahisi binadamu gani ni maarufu zaidi?