
Jitu Mtu
@mtu2mtu
God is great
ID: 1467165517567905793
04-12-2021 16:19:23
4,4K Tweet
1,1K Followers
612 Following

Kesho ni zamu ya Mbeya. Katibu Mkuu wa ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu atakutana na watiania wa Ubunge na Udiwani kutoka Majimbo yote ya Mkoa wa Mbeya. #OperesheniLindaDemokrasia #TaifaLaWote #MaslahiYaWote.



Leo Mei 18, 2025 Katibu Mkuu Kiongozi wa Wasemaji wa Kisekta, Ndugu Idrisa Kweweta amechukua fomu ya kugombea Ubunge w Jimbo la Kilwa Kusini. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ndugu Twahir Bingwe. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia ACTWazalendo


Kushikiliwa na Kuzuiwa Kuingia Nchini kwa Martha Karua SC Hakukubaliki. #TaifaLaWote #MaslahiyaWote


Leo Mei 19, 2025 Ndugu Philipo Mallac amekabidhiwa fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Nsimbo kwa tiketi ya ACTWazalendo. Fomu hiyo amekabidhiwa na Kaimu Katibu wa Jimbo la Nsimbo, Ndugu Erasto Samweli. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia


Leo Mei 19, 2025 Waziri Kivuli wa Ardhi wa ACTWazalendo, Ndugu Emmanuel L. Mvula amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Segerea. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo, Ndugu Maarufu Mdumbu. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia


Leo Mei 19, 2025 Katibu wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi wa chama cha ACTWazalendo, Ndugu Shaweji Mketo amechukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Kilwa Kaskazini. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia




MKUTANO MKUU TAIFA KWA HISANI YA WANACHAMA NA WADAU WA DEMOKRASIA Chama cha ACTWazalendo kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalum Mwezi Julai kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2025. Tunaomba michango yenu kufanikisha mkutano huo. Namba za kuchangia ziko katika bango.


MKUTANO MKUU TAIFA KWA HISANI YA WANACHAMA NA WADAU WA DEMOKRASIA Chama cha ACTWazalendo kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalum Mwezi Julai kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2025. Tunaomba michango yenu kufanikisha mkutano huo. Namba za kuchangia ziko katika bango.


MKUTANO MKUU TAIFA KWA HISANI YA WANACHAMA NA WADAU WA DEMOKRASIA Chama cha ACTWazalendo kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalum Mwezi Julai kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2025. Tunaomba michango yenu kufanikisha mkutano huo. Namba za kuchangia ziko katika bango.


MKUTANO MKUU TAIFA KWA HISANI YA WANACHAMA NA WADAU WA DEMOKRASIA Chama cha ACTWazalendo kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalum Mwezi Julai kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu 2025. Tunaomba michango yenu kufanikisha mkutano huo. Namba za kuchangia ziko katika bango.


"Nina heshima kuomba ridhaa ya ACTWazalendo kugombea Urais wa Tanzania. Tuna ombwe la uongozi, umaskini wa kutisha, na rasilimali zinazovunwa bila tija kwa wananchi. Niko tayari kuongoza mabadiliko ya kweli." KC Dorothy Semu #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia



"Safari hii tutatangazwa watake wasitake! Wabunge wa upinzani huenda bungeni kwa nguvu ya ulinzi wa kura. Kupiga kura ni haki, na kulinda kura pia ni haki." Naibu Mwenezi wa ACTWazalendo @shangwe__ayo Oktoba #LindaKura


"Sisi tunaelewa kabisa! Mifumo ya uchaguzi ni ya hovyo. Tunajua kuna kura feki! Tunajua polisi wanatumiwa na CCM. Tunajua hatupambani na CCM; tunapambana dola. Ila hatutasusa, kwani tumejifunza kilichotokea Zanzibar" Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official Abdul Nondo 🇹🇿 Oktoba #LindaKura


Dar es salaam ni zambarau. Dar es salaam ni ACTWazalendo OKTOBA #LindaKura #TheFutureIsPurple
