rachel john
@mtazania_
ID: 881776950087479296
03-07-2017 07:29:42
956 Tweet
2,2K Followers
21 Following
Ufafanuzi makini kutoka kwa Wakili Msomi, Mbunge wa Ukonga na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kusimamia Mashirika ya Umma, Mhe. Jerry Silaa Ni kuhusu uwekezaji wa bandari.
Oktoba hii Mhe. Rais Samia Suluhu alikuwa nje ya Nchi akipambania fursa za Nchi yetu, Oktoba hii hii tayari yupo Mikoani akisikiliza na kutatua kero za wananchi pamoja na kuzindua miradi mikubwa ya maendeleo. Hakika Kazi inaendelea kwa kasi tena bila kelele. Tumuunge Mkono.
Hongera sana Mhe. Rais kwa kuendelea kupambania fursa za Nchi yetu ndani na nje ya nchi. Kazi nzuri sana Samia Suluhu
Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan (Samia Suluhu ), kipekeee niweze kumshukuru yeye kwa kuweza kuniamini tena ili niweze kumsaidia katika jukumu la Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.
Leo nitawasilisha mada ya historia ya CCM kwa kuanisha mambo 10 ya tofauti. Nawashukuru sana wana CCM wenzangu shina la CCM DIASPORA CHINA kwa mualiko huu, nawakaribisha nyote katika darasa letu hili. Kupitia Zoom Meeting, link kwenye bio yangu. Karibu sana ndugu zangu.
Salamu za Pongezi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson (Mb) kwa kupata kura nyingi na kuchaguliwa kwa ushindi wa kishindo kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU). #KaziIendelee