Michael Bujaga
@mbujaga
ICT Proffessional; Tech Engineer
ID: 2538827698
10-05-2014 10:35:15
1 Tweet
45 Followers
290 Following
Kongole Simba Sports Club kwa ushindi wa 1-0 (ushindi wa jumla 4-1) mlioupata dhidi ya timu ya Primeiro De Agosto ya Angola na hivyo kufanikiwa kuingia hatua ya makundi ya klabu bingwa Barani Afrika. Nawatakia kila kheri katika michuano inayofuata.