
HUSSEIN MAJALIWA
@majaliwa_h
katibu hamasa kata ya kitunda
na
mwenyekit mstaafu wa Uvccm kata ya kitunda#SSC
ID: 1876944610854920192
08-01-2025 10:51:27
5,5K Tweet
648 Followers
3,3K Following




RAIS Samia Suluhu amekua akihimiza Amani na Mshikamano wa kidini,ameonyesha usawa Kwa kuteuwa viongozi wa Dini mbalimbali hata kama si wanaotokana na Imani yake, Kwa msingi huu amejijengea heshima na kutambuliwa kama RAIS wa watu wote. Hawa watumishi wa Shetani wasituharibie Dini













