𝕃𝕖𝕒𝕙 𝕄𝕦𝕤𝕙𝕚 (@leahbtz) 's Twitter Profile
𝕃𝕖𝕒𝕙 𝕄𝕦𝕤𝕙𝕚

@leahbtz

Social Media & Communication Expert | Member of @G_MachelTrust @FPA_Africa & @TAMWA_ |YouTube: @MediaLiteracy101 |All views are personal

ID: 235962322

calendar_today09-01-2011 13:48:13

1,1K Tweet

2,2K Followers

589 Following

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Baraza la Usalama la UN limeshindwa kupitisha maazimio kuhusu mapigano yanayoendelea huko #Gaza Mashariki ya Kati Katika upigaji kura wa rasimu ya azimio lililowasilishwa na Urusi, Sudan na Venezuela namba S/2023/795 📌Kura za ndio 4, hapana 2, 📌Wajumbe 9 hawakuonesha msimamo

Baraza la Usalama la UN limeshindwa kupitisha maazimio kuhusu mapigano yanayoendelea huko #Gaza Mashariki ya Kati  Katika upigaji kura wa rasimu ya azimio lililowasilishwa na Urusi, Sudan na Venezuela namba S/2023/795

📌Kura za ndio 4, hapana 2,
 📌Wajumbe 9 hawakuonesha msimamo
Kennedy Wandera (@kennedywandera_) 's Twitter Profile Photo

We have visa regulations left, right and centre. Twenty-seven countries in Europe today with 430 million people removed visas. We still have visas. Let me persuade us that it is time we in this continent realise that having visa restrictions amongst ourselves is working against

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

🔵Tunaomboleza🇺🇳 "Mimi na familia yote ya United Nations tunaomboleza kuwapoteza wafanyakazi wenzetu wengi wa UNRWA Katikati ya mateso na maumivu yasiyofikirika, wafanyakazi wenzao huko #Gaza wanaendelea kuwahudumia wenye uhitaji licha ya hatari kubwa kwa maisha yao." António Guterres

🔵Tunaomboleza🇺🇳

"Mimi na familia yote ya <a href="/UN/">United Nations</a> tunaomboleza kuwapoteza wafanyakazi wenzetu wengi wa <a href="/UNRWA/">UNRWA</a>
 
Katikati ya mateso na maumivu yasiyofikirika, wafanyakazi wenzao huko #Gaza wanaendelea kuwahudumia wenye uhitaji licha ya hatari kubwa kwa maisha yao." <a href="/antonioguterres/">António Guterres</a>
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

#HabarizaUN kwa ufupi na Evarist Mapesa 🎯 Kila baada ya dakika 10 mtoto mmoja anauawa #Gaza - World Health Organization (WHO) 🎯 "Mateka watoto wanaoshikiliwa na #Hamas lazima waachiliwe huru." - James Elder, Msemaji wa UNICEF 🎯 Na kuelekea #COP28UAE...

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Je, maendeleo ya Akili Mnemba #ArtificialIntelligence #AI kama #ChatGPT ya OpenAI ni baraka au laana kwa ufundishaji wa #Kiswahili duniani? Msikilize Dkt. Filipo Lubua Filipo Lubua, Rais wa Chaukidu akihojiwa na 𝕃𝕖𝕒𝕙 𝕄𝕦𝕤𝕙𝕚 wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa.

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Hii leo kutoka Geneva🇨🇭& New York 🇺🇸 Mashariki manne ya United Nations ambayo ni lile la Mpango wa chakula duniani World Food Programme, Afya ulimwenguni World Health Organization (WHO), linalohusika na masuala ya watoto UNICEF na  la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina UNRWA wametoa taarifa ya pamoja kuhusu Gaza na nini kifanyike.

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Muhtasari wa #HabarizaUN ukiwasilishwa na 𝕃𝕖𝕒𝕙 𝕄𝕦𝕤𝕙𝕚 🎯 .Volker Türk na Filippo Grandi watoa wito kwa Uingereza kuhusu kuwapeleka #Rwanda waomba hifadhi. 🎯 Ripoti za kutisha zinaendelea kuibuka #Gaza. 🎯 Kuna ongezeko la #cholera kipindupindu duniani - World Health Organization (WHO)

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

#NewYork Mwakilishi wa Kudumu wa #Tanzania kwenye #UN Balozi Hussein Kattanga akiwasilisha mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Rasimu ya Azimio la kutambua Julai 7 kuwa siku ya Kimataifa ya lugha ya Kiswahili. MFA Tanzania Kwa sasa UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳 ndio inatambua siku hii.

#NewYork  Mwakilishi wa Kudumu wa #Tanzania kwenye #UN Balozi Hussein Kattanga akiwasilisha mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Rasimu ya Azimio la kutambua Julai 7 kuwa siku ya Kimataifa ya lugha ya Kiswahili.  <a href="/mfa_tanzania/">MFA Tanzania</a> 
Kwa sasa <a href="/UNESCO/">UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳</a> 

ndio inatambua siku hii.
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Hauchi hauchi umekucha, hayawi hayawi yamekuwa, hakika asiye na mwana aeleke jiwe, hatimaye Julai 01, 2024 Azimio (A/78/L.83) la kutaka Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa liitambue Julai 7 kuwa Siku ya Kimataifa ya Kiswahili limepitishwa bila kupingwa. Soma⬇️ news.un.org/sw/story/2024/…

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Leo ni siku ya Kiswahili duniani, maadhimisho yakifanyika huku lugha hiyo ikiwa imetambuliwa sasa na Umoja wa Mataifa. Sikiliza ujumbe maridhawa kutoka kwa wanafunzi hawa wa Chuo Kikuu cha Ghana University of Ghana #KiswahililanguageDay UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

𝐌𝐔𝐇𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈 📌Shehena ya mafuta ⛽yaingia #Gaza United Nations 📌 WHO/Europe yasema #mpox si kama #Covid itadhibitiwa haraka. Nchi za Ulaya zisaidie chanjo #Africa 📌Leo ni #MosquitoDay World Health Organization (WHO) yasema 🦟anaua licha ya kuweko 💉💊 Anold Kayanda 𝕃𝕖𝕒𝕙 𝕄𝕦𝕤𝕙𝕚

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Hayawi hayawi yamekuwa! Vijana wameanza kuingia makao makuu ya #UN 🇺🇳 kuwasilisha hoja zao kuelekea #SummitoftheFuture2024 Septemba 20 Dorice Mkiva wa UN Volunteers ataeleza jinsi yeye na UNICEF Tanzania wanashirikiana kuboresha #OurCommonFuture Amezungumza na Flora Nducha #UNGA79