Kyoma Waitu (@kyomawaitu) 's Twitter Profile
Kyoma Waitu

@kyomawaitu

ID: 1845477761340637198

calendar_today13-10-2024 14:53:19

623 Tweet

160 Followers

169 Following

Mturutumbi_mmoja (@mturutumbi_) 's Twitter Profile Photo

Sekta ya miundombinu imekua ni mhimili muhimu sana kwenye maendeleo ya nchi yetu kwani sekta hii imesaidia kuunganisha na kurahisisha mambo mengi ya kimsingi kukamilika kwa haraka. Serikali ya awamu ya sita ipo kazini kuhakikisha sekta hii inazidi kuimarika. #SSH2025

Sekta ya miundombinu imekua ni mhimili muhimu sana kwenye maendeleo ya nchi yetu kwani sekta hii imesaidia kuunganisha na kurahisisha mambo mengi ya kimsingi kukamilika kwa haraka. Serikali ya awamu ya sita ipo kazini kuhakikisha sekta hii inazidi kuimarika. #SSH2025
Nchi yangu kwanza (@nchiyangut) 's Twitter Profile Photo

🔴🔴Mbunge abananishwa Maswali live Mbele ta Wapiga kura wake Jimboni kwake.. Msikilize akijibu,halafu shuka na Maoni yako hapa bila Jazba..,,,

Kyoma Waitu (@kyomawaitu) 's Twitter Profile Photo

Nchi yangu kwanza Wizara ya Katiba na Sheria SISI NI TANZANIA #KatibaMpya Matokeo ChanyA+ MSLegalAidCampaign Samia Suluhu Tanganyika Law Society(TLS) LHRC Boniface Mwabukusi MSLAC imechochea wananchi kuheshimu katiba na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa na kila taasisi na mtu binafsi awe raia au mgeni. Imeweka umuhimu wa kuheshimu na kuhakikisha haki ninatendeka kwa misingi ya usawa bila ubaguzi. #sisinitanzania #MSLAC

<a href="/NCHIYANGUT/">Nchi yangu kwanza</a> <a href="/Sheria_Katiba/">Wizara ya Katiba na Sheria</a> <a href="/sisiniTanzania/">SISI NI TANZANIA</a> <a href="/KatibaMpyaTz_/">#KatibaMpya</a> <a href="/matokeochanya/">Matokeo ChanyA+</a> <a href="/MsLACampaign/">MSLegalAidCampaign</a> <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> <a href="/TanganyikaLaw/">Tanganyika Law Society(TLS)</a> <a href="/humanrightstz/">LHRC</a> <a href="/Mwabuk2Boniface/">Boniface Mwabukusi</a> MSLAC  imechochea wananchi kuheshimu katiba na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa na kila taasisi na mtu binafsi awe raia au mgeni. Imeweka umuhimu wa kuheshimu na kuhakikisha haki ninatendeka kwa misingi ya usawa bila ubaguzi. #sisinitanzania #MSLAC
SISI NI TANZANIA (@sisinitanzania) 's Twitter Profile Photo

🌿 Ulinzi wa Milima ya Matogoro – Chanzo cha Maji, Hewa Safi, na Fursa za Utalii Songea 🌄 Matogoro si tu mlima, ni pumzi ya Songea. Misitu yake ni kinga dhidi ya mabadiliko ya tabianchi, chanzo cha maji na matumaini ya uchumi wa kijani. Vijana, wazee – sote tuna wajibu wa

ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania na ule wa Finland ukiimbwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania na ule wa Finland ukiimbwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.
Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania na ule wa Finland ukiimbwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania na ule wa Finland ukiimbwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.
Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.
Kyoma Waitu (@kyomawaitu) 's Twitter Profile Photo

Serikali inaboresha mazingira ya wafanyabiashara kwa kujenga miundombinu ya kisasa ya kufanyia biashara. ##sisinitanzania #matokeochanya #mslac #wizarayakatibanasheria #ssh #katibanasheria #kazinaututunasongambele

Serikali inaboresha mazingira ya wafanyabiashara kwa kujenga miundombinu ya kisasa ya kufanyia biashara. ##sisinitanzania #matokeochanya #mslac #wizarayakatibanasheria #ssh #katibanasheria #kazinaututunasongambele
Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) 's Twitter Profile Photo

Uboreshaji wa Daftari la wapiga kura awamu ya Pili Katika mikoa ya:- Arusha Kilimanjaro Manyara Tanga Dar es Salaam Morogoro Pwani Mtwara Lindi Singida Dodoma Mjini Magharibi Kaskazini Unguja Kusini Unguja Kaskazini Pemba na Kusini Pemba Kuanzia tarehe 16 - 22 Mei 2025

Kyoma Waitu (@kyomawaitu) 's Twitter Profile Photo

Serikali inapeleka maendeleo kwa wananchi bila upendeleo. Rasilimali za nchi zinawanufaisha Watanzania katika nyanja mbalimbali. #sisinitanzania #kaziiendelee #kazinaututunasongambele #nchiyangutanzania #ssh #matokeochanya #mslac #wizarayakatibanasheria

Serikali inapeleka maendeleo kwa wananchi bila upendeleo. Rasilimali za nchi zinawanufaisha Watanzania katika nyanja mbalimbali. #sisinitanzania #kaziiendelee #kazinaututunasongambele #nchiyangutanzania #ssh #matokeochanya #mslac #wizarayakatibanasheria
Kyoma Waitu (@kyomawaitu) 's Twitter Profile Photo

KUPITIA MAFUNZO HAYA, HUKO ULIPO KWA VIPI WATANZANIA WANAFAIDIKA KUPITIA HAYA MAFUNZO. ##sisinitanzania #matokeochanya #kazinaututunasongambele #ssh #Katibanasheria #MSLAC

KUPITIA MAFUNZO HAYA, HUKO ULIPO KWA VIPI WATANZANIA WANAFAIDIKA KUPITIA HAYA MAFUNZO. ##sisinitanzania #matokeochanya #kazinaututunasongambele #ssh #Katibanasheria #MSLAC
Kyoma Waitu (@kyomawaitu) 's Twitter Profile Photo

Umestahili Profesa Janabi, haya ni matokeo chanya kwa taifa letu. Afrika ni moja tanategemea makubwa kutoka kwako. #sisinitanzania #matokeochanya #mslac #wizarayakatibanasheria #kazinaututunasongambele #ssh

Umestahili Profesa Janabi, haya ni matokeo chanya kwa taifa letu. Afrika ni moja tanategemea makubwa kutoka kwako. #sisinitanzania #matokeochanya #mslac #wizarayakatibanasheria #kazinaututunasongambele #ssh
Nchi yangu kwanza (@nchiyangut) 's Twitter Profile Photo

Taarifa hizi unazozileta dada wa Taifa — ambazo ni picha za nyaraka za serikali zenye alama ya "SIRI" na "VERY URGENT" — na kuenezwa mitandaoni zina athari kubwa sana kwa usalama wa taifa, utawala wa sheria, na imani ya umma kwa taasisi za serikali. Kwa mujibu wa Katiba ya

Nchi yangu kwanza (@nchiyangut) 's Twitter Profile Photo

Swali hili lina hisia kali, lakini linaibua hoja nyeti kuhusu usalama wa taifa, uhuru wa mtu binafsi, na mamlaka ya Rais chini ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ili kujibu kwa ufasaha, nzingatia Katiba, nafasi ya Rais, na masuala ya kimataifa ya ulinzi na heshima ya