Fares KIBERA (@kibelaf) 's Twitter Profile
Fares KIBERA

@kibelaf

Ceo KiberaSeaboys🎼🎼

ID: 801674493857034240

calendar_today24-11-2016 06:31:08

424 Tweet

273 Followers

411 Following

Fares KIBERA (@kibelaf) 's Twitter Profile Photo

Nilidhan utaandika na kuonyesha hilo tatizo la kimantiki.... Togolani Mavura amechokoza mada... kama kuna eneo walijua kinyume chake ungekuja na hoja badala ya kuwaachia unaodhan wanapotosha wakaendelea kupotosha

Mwl. Nyerere Quote (@mwl_quote) 's Twitter Profile Photo

"Uovu tunaowatendea wanawake hautokani na ubora wowote tulionao kuwazidi wanawake,bali umetokea kwa sababu nguvu ni mali" Mwl Nyerere

Herbalist (@oreganosis) 's Twitter Profile Photo

Hii ilikuwa ni 2015 October nikiwa na @umwalimu Mh. Waziri wa Afya.... Katika harakati za kusaka kura za uraisi CCM.MAGUFULI VIVA CCM VIVA

Hii ilikuwa ni 2015 October nikiwa na @umwalimu Mh. Waziri wa Afya.... Katika harakati za kusaka kura za uraisi CCM.MAGUFULI VIVA CCM VIVA
Richard Mabala (@mabalamakengeza) 's Twitter Profile Photo

@Jo7times Jamii Forums katika Biblia, Yesu aliwasema sana Mafarisayo n.k., viongozi wa Mayahudi. Wafuasi wake waliona ukwelil mtupu, Mafarisayo waliona ni uchochezi. Hadi ilibidi Pilato aulize 'ukweli ni kitu gani'? Nani anaamua lipi na kweli na lipi si kweli?