Elite bookstore (@elitebookstore) 's Twitter Profile
Elite bookstore

@elitebookstore

The best bookstore in Tanzania, providing books in all genres, stationeries, games and toys.
Call: +255 658780015 for the fastest response and delivery.

ID: 2369246806

linkhttp://www.elitestore.co.tz calendar_today27-02-2014 16:01:33

414 Tweet

729 Followers

90 Following

Elite bookstore (@elitebookstore) 's Twitter Profile Photo

Ilikuwa siku njema tulipoungana na mheshimiwa Jakaya Kikwete Jakaya Kikwete katika maadhimisho ya miak 10 ya Jumuiya ya Watetezi wa Kiswahili WAKITA Katika ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Ilikuwa siku njema tulipoungana na mheshimiwa Jakaya Kikwete <a href="/jmkikwete/">Jakaya Kikwete</a> katika maadhimisho ya miak 10 ya Jumuiya ya Watetezi wa Kiswahili WAKITA Katika ukumbi wa Nkrumah  Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
read_tz (@read_tanzania) 's Twitter Profile Photo

THE HOLIDAY READING ADVENTURE This year’s theme: Social Emotional Learning. Bring your kids to a safe place where they can enjoy storytelling with different authors, reading, learning, and many more fun activities.

Richard Mabala (@mabalamakengeza) 's Twitter Profile Photo

Juzi tuliwakaribisha watu na familia zao nyumbani. Wakati wazazi wlikuwa na mazungumzo yao watoto walishambulia vitabu vyangu wenyewe bila kushawishiwa. Watoto wanapenda kusoma BUY A CHILD A BOOK FOR CHRISTMAS UMNUNULIE MTOTO KITABU KAMA.ZAWADI YA KRISMASI #Willythewarthog

Juzi tuliwakaribisha watu na familia zao nyumbani. Wakati wazazi wlikuwa na mazungumzo yao watoto walishambulia vitabu vyangu wenyewe bila kushawishiwa. Watoto wanapenda kusoma

BUY A CHILD A BOOK FOR CHRISTMAS
UMNUNULIE MTOTO KITABU KAMA.ZAWADI YA KRISMASI #Willythewarthog
Richard Mabala (@mabalamakengeza) 's Twitter Profile Photo

Buy a child a book (for Christmas) Umnunulie mtoto kitabu Si lazima vya kwangu vitakuwepo vingi. Karibuni duka la vitabu vya Chuo Kikuu cha DSM saa 4 hadi saa 10 kwa uzinduzi ... michezo, mashindano, muziki. Karibuni na watoto wenu

Christian Bwaya (@bwaya) 's Twitter Profile Photo

Unaweza kuishi na majeraha ya hisia bila kujua. Unafanya nini kuyagundua na kuyashughulikia? Kitabu hiki nilichokipata Elite bookstore Dodoma kina mengi. Kinaweza kukufaa ukitaka kuelewa tatizo la afya ya akili —kwa maelezo ya kitaalam na simulizi halisi. #PsychologyOfTrauma

Unaweza kuishi na majeraha ya hisia bila kujua. Unafanya nini kuyagundua na kuyashughulikia? Kitabu hiki nilichokipata <a href="/EliteBookstore/">Elite bookstore</a> Dodoma kina mengi.

Kinaweza kukufaa ukitaka kuelewa tatizo la afya ya akili —kwa maelezo ya kitaalam na simulizi halisi.

#PsychologyOfTrauma
Christian Bwaya (@bwaya) 's Twitter Profile Photo

Jipatie kitabu kizuri cha “Jinsi ya Kurudi Nyumbani” kilichoandikwa na Mtumishi Esther Karin Mngodo kwenye maduka ya Elite bookstore ufurahie mashairi yanayofikirisha na kuburudisha.

Makene (@mkamaw) 's Twitter Profile Photo

MKWE WA JAJI MKUU inahusu nini? Leo siku ya mwisho kukuona pale viwanja vya Sabasaba, banda la STONE TOWN. Piga: 0624 379 602 Cheki: Elite bookstore na APE Network