Draick Bavon󱢏 (@draickb324) 's Twitter Profile
Draick Bavon󱢏

@draickb324

Tarented.

ID: 1701674280327450625

calendar_today12-09-2023 19:09:21

11,11K Tweet

2,2K Followers

2,2K Following

OfisaHovyo (@wahovyo_hq) 's Twitter Profile Photo

Kila mwanaume anahitaji mwnmke/Mke msikivu, mpole na mwenye hofu ya MUNGU nyie mnaotaka uhuru wa kwenda uchi, si kama hatuwahitaji apana, bali tunawahitaji kama vyombo vya starehe tu, na tukimaliza tunarudi nyumabani ili tupate utulivu 📌

Ahmad (@rajuquire) 's Twitter Profile Photo

“ Wakati sura na shepu zikiwapeleka mabinti wengi kwenye ndoa, tabia nazo zipo kasi sana kuwarudisha kwa wazazi wao.” 🧎🏻‍♂️🕊

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

Painful story. "Dah Bro kwema Hide my ID as always Kuna Tukio limetokea kitaa hapa almost 2 weeks Kuna demu alikua anadate na men wawili mmoja ni broke and thug man almost kama 24yrs alafu Kuna men mwingine ambaye ni wakishua 25yrs flani ambaye alikuwa anampa Demu Kila kitu

Mrdj😂✌🏿 (@mrdj255) 's Twitter Profile Photo

@DraickB57085 Zuchu Umesema fact zote ambazo si zani km kuna haja ya kuongezea ata nykta🥲❤️👊🏿 lets keep grindin bro 🙏🏿

MADOPE🌾 (@ugeniaconso) 's Twitter Profile Photo

Kulalamika kila siku kuwa we ni mtu wa matatzo sio sifa wala hakuna tuzo, simama upambane kama ubaya kila mtu kafanyiwa na kukumbana nao.

Ascendra (@ascendra001) 's Twitter Profile Photo

Ukiona mtoto wako anapenda Sana kuwasifia marafiki zake kuwa wanajua kitu fulani, mzingue, sio dalili nzuri hiyo. Usilee kipaji Cha uchawa nyumbani kwako.

MAIPAMBO JR (@maipambomteta) 's Twitter Profile Photo

Wenye malengo ya kununua viwanja dsm huu ndo muda wa kutembelea maeneo pendwa kwako kwa maana utaona uhalisia wa maji na ujio wake msije kisema hamku ambiwa😀

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

JE, WAJUA? SWEDEN na DENMARK zikikutana katika michezo kwenye score board huwa zinaandikwa herufi 3 za mwanzo kwa kila timu. Yaani SWE vs DEN: Maajabu ni kwamba ukiziunganisha unapata SWEDEN. Lakini pia herufi zinazobakia ni DEN na MARK ambazo nazo ukiziunganisha unapata DENMARK

Ahmad (@rajuquire) 's Twitter Profile Photo

Bros mlioa na ambao mtaoa hata kama siyo sasa ila, “ Ukitoka kazini usiku,kile chakula ulicho wekewa mezani na mkeo hakikisha unakula na watoto wako hata kama ukikuta wamelala waamshe mle wote. ” Hasa mkiwa na ugomvi ugomvi usioisha nyumbani na mkeo, Ahsante.🤝🏼

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

Dada wa kazi haijawahi kuwa Idea nzuri kwangu. Kuna familia tunaweza kusema zinamuhitaji sawa lakini sipendi vile wanakua treated. Dada wa kazi huwa hapewi treatment nzuri hata kidogo. Unakuta mtoto wa boss anavaa vizuri anasuka na mambo mengi mazuri. Lakini, hii iko tofauti

MWANAHISABATI (@arthurgeil) 's Twitter Profile Photo

Umefika mwisho, asante kwa kusoma. Nina imani nimeongeza kitu kwenye elimu yako, ikikupendeza: Nifollow @arthurgeil Like kisha weka retweet uzi ufike mbali na wengine wajifunze. Natanguliza shukrani.