zecdma743 (@charlesev63525) 's Twitter Profile
zecdma743

@charlesev63525

love only

ID: 1681582331503452161

calendar_today19-07-2023 08:30:57

47 Tweet

22 Followers

243 Following

Young Africans SC (@youngafricanssc) 's Twitter Profile Photo

𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„β±οΈβ€™| #NBCPremierLeague Young Africans SC 4-0 Kagera Sugar Burudani inaendeleaπŸ”°πŸ’ͺ🏽 #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko

𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„β±οΈβ€™| #NBCPremierLeague 

Young Africans SC 4-0 Kagera Sugar

Burudani inaendeleaπŸ”°πŸ’ͺ🏽

#TimuYaWananchi 
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Alex Jones (@realalexjones) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Trump Initiates The American Sovereign Wealth Fund While Signing A Barrage Of Executive Orders That Continue To Propel His MAGA Agenda Forward Trump Hints That If TikTok Is Purchased, It Will Be Put Into The Sovereign Wealth Fund Β» LIVE X STREAM: x.com/i/broadcasts/1…

Watu Mikeka (@watu_mikeka) 's Twitter Profile Photo

Je, ukipewa Tshs 500,000 unaweza kufanya biashara gani ambayo itakuingizia faida ya Tshs 10,000 hadi Tshs 15,000 kwa siku. Watu wawili wenye mawazo mazuri ya kibiashara wataondoka na 500,000 kila mmoja. Weka wazo kisha Retweet hii post.

Je, ukipewa Tshs 500,000 unaweza kufanya biashara gani ambayo itakuingizia faida ya Tshs 10,000 hadi Tshs 15,000 kwa siku.

Watu wawili wenye mawazo mazuri ya kibiashara wataondoka na 500,000 kila mmoja. Weka wazo kisha Retweet hii post.
zecdma743 (@charlesev63525) 's Twitter Profile Photo

Nakupenda sana kuliko mana umenisaidia KUFAHAMU nchi yangu kwa mapana zaidi utajiri,uzuri na mipaka yake zaidi sana mfano bora wa imani ulionionyesha wa kumtegemea mungu daima na kwamba Tanzania tunaweza # ikumbukwe daima March 17

Nakupenda sana kuliko mana umenisaidia KUFAHAMU nchi yangu kwa mapana zaidi utajiri,uzuri na mipaka yake zaidi sana mfano bora wa imani ulionionyesha wa kumtegemea mungu daima na kwamba Tanzania tunaweza 
# ikumbukwe daima March 17
Latto 𝕏 (@rydx_017) 's Twitter Profile Photo

Nimeona Hii Video ya Magufuli alivyoenda kukagua Site kwa Kushtukiza, Palikuwa hamna njia na njia ikapasuliwa hapo hapo na wanajeshi. Nikatamani Angekuwa hai mpaka sasahivi, zile barabara za Mwendokasi zoteee! Zingekuwa zishakamilika! Video kwa Comments πŸ‘‡

Nimeona Hii Video ya Magufuli alivyoenda kukagua Site kwa Kushtukiza,

Palikuwa hamna njia na njia ikapasuliwa hapo hapo na wanajeshi.

Nikatamani Angekuwa hai mpaka sasahivi, zile barabara za Mwendokasi zoteee!

Zingekuwa zishakamilika!

Video kwa Comments πŸ‘‡