RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe amesema amekoshwa na maandalizi ya miundombinu ya viwanja ikiwemo Benjamin Mkapa kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN).
#bongofm #bongofmupdates