Black Dady (@blacdaady) 's Twitter Profile
Black Dady

@blacdaady

Med๐Ÿ’‰ | Football | Graphics designer |Crypto

ID: 902171662434664449

calendar_today28-08-2017 14:11:00

192,192K Tweet

29,29K Followers

4,4K Following

OfisaHovyo (@wahovyo_hq) 's Twitter Profile Photo

Mkumbushe mwanao kwamba ni kweli hii dunia ina mambo mengi, ila mwambie aangalie yanayo mfaa hayo mengine aachane nayo ๐Ÿ“Œ

Uncle chitemo (@ankowataifa) 's Twitter Profile Photo

Ukiwa mzima watu hawakujali , lakini ukifa wanachinja na Ng'ombe wale na pilau .Jifunze kujali nafsi Yako ukiwa hai โœ๏ธ

CARGOโญ๐ŸŒ (@cargo_1911) 's Twitter Profile Photo

Kuna kesi iliyojulikana kutoka Kenya, inayohusiana na mtu aliyejiita mchungaji aitwaye Paul Mackenzie, ambaye aliwashawishi waumini wake wafunge kwa siku nyingi hadi kufa, kwa madai kwamba wangeenda kumuona Yesu. Tukio hili lilijulikana kama Shakahola Massacre, lililotokea mwaka

Kuna kesi iliyojulikana kutoka Kenya, inayohusiana na mtu aliyejiita mchungaji aitwaye Paul Mackenzie, ambaye aliwashawishi waumini wake wafunge kwa siku nyingi hadi kufa, kwa madai kwamba wangeenda kumuona Yesu. Tukio hili lilijulikana kama Shakahola Massacre, lililotokea mwaka
Black Dady (@blacdaady) 's Twitter Profile Photo

YAS WAMEKUJA NA BALAA!!. Kwa shilingi 250k tu utapatiwa Router ya 5G na kifurushi bure cha unlimited mwezi mzima. Mwezi unaofuata utakuwa unalipia 70k tu. โžคRouter yako utaletewa popote ulipo๐Ÿ“ WhatsApp or call 0676028686

YAS WAMEKUJA NA BALAA!!.

Kwa shilingi 250k tu utapatiwa Router ya 5G na kifurushi bure cha unlimited mwezi mzima. Mwezi unaofuata utakuwa unalipia 70k tu.

 โžคRouter yako utaletewa popote ulipo๐Ÿ“

WhatsApp or call 0676028686
HIMEZI (@deadbodiie) 's Twitter Profile Photo

Tungejua Kuna miti inakomaa kwa ajili ya majeneza yetu tusingekua na kiburi na haya mร isha ya duniani. Good morning God's People

m.s.a.k.i๏ผ‹ (@raphyrodrick) 's Twitter Profile Photo

Waowaji wote mjini wanapendeza na suti kali kutoka suit_mseleleko chimbo la uhakika la ya suti kali na original kwa 180,000 tu (three pieces suit) Location: Msimbazi kariakoo , Mtaa wa Mchikichi na Manyema (Nyuma ya jengo la club ya simba) ๐Ÿ“ž0762617089 Delivery uhakika popote

Waowaji wote mjini wanapendeza na suti kali kutoka <a href="/suitmseleleko/">suit_mseleleko</a> chimbo la uhakika la ya suti kali na original kwa 180,000 tu (three pieces suit)

Location: Msimbazi kariakoo , Mtaa wa Mchikichi na Manyema (Nyuma ya jengo la club ya simba)

๐Ÿ“ž0762617089 

Delivery uhakika popote
Queen Online Business (@queenonlinebiz) 's Twitter Profile Photo

Naomba Repost๐Ÿ™ #VIATU BORA๐Ÿ›๏ธ๐Ÿ›๏ธ โœ…Size 40/41/42/43/44/45 โœ…Bei 95,000/= Wa.me/+255623346245 ๐Ÿ“Kariakoo

Naomba Repost๐Ÿ™

#VIATU BORA๐Ÿ›๏ธ๐Ÿ›๏ธ

โœ…Size 40/41/42/43/44/45

โœ…Bei  95,000/=

Wa.me/+255623346245

๐Ÿ“Kariakoo
Black Dady (@blacdaady) 's Twitter Profile Photo

At this point sijali kuhusu mchezaji yoyote kuwa treated well or bad, nahitaji kuiona Manchester United ikifanikiwa. Nimechoka kuona matapeli kwenye team yangu.

Black Dady (@blacdaady) 's Twitter Profile Photo

Unapokua mchezaji laizma ujue mtu wa 1 anatamani ufanikiwe ni kocha wako. Usifanye kosa kufikiria kocha akiongea kitu negative about you hakutakii mema. Messi na Ronaldo wamefika walipofika kwasababu walijahidi kuonyesha discipline isiyoyumbishika. I feel sorry for Garnacho