ALPHANGA BLACK
@alphanga
CCM number one
ID: 952135393343918082
13-01-2018 11:09:02
4,4K Tweet
2,2K Followers
2,2K Following
Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa kwa pamoja tumpe imani Mwenyekiti wetu Samia Suluhu kwa kumpa kura zote za ndio aendelee kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa. KAZI IENDELEE
Mhe Yusuph Mwenda ni Tz kutoka bara aliwahi kuwa Mstahiki Meya kinondoni, diwani kata ya mikocheni sasa ni mteule wa wa Rais Zanzibar Mh Dr Hussein Ali Mwinyi kamishina wa kodi na mapato zanzibar ZRA Je? unamjua #NasoroMajidi unamjua msemaji wa ikulu zanzibar acha mapepe Muungano unalipa.
Sasa siwanacheza wakongo wote maana ukichukua TP Mazembe na Young Africans SC ni timu ya taifa ya kongo kabisa