Agronomist Frank Marwa
@frankmarwatz
Agronomist, Agricultural Consultants, Organic Farming Expert, Drip irrigation, Solar drier,AGRo inputs, Biogas system, Founder & CEO at AgroEcology Farming Ltd.
ID: 2974367277
http://marwafrank.webs.com 12-01-2015 10:07:07
1,1K Tweet
1,1K Followers
1,1K Following
Kipengele gani kwenye kilimo Nyanya kilikutoa kwenye reli? Comment Nasi tujifunze Bwanashamba wa taifa ๐น๐ฟ
Ulikuwa ni wakati mwema kukutana na Agronomist Agronomist Frank Marwa kutoa Kilimanjaro Permaculture Community na Edward kutoka Kilimo Sustainable Movement na huduma zao za kilimo Hai, mifumo ya kumwagilia maji na Mbolea ya Imara. Nanenane Agricultural International Expo 2024, Nzuguni Dodoma๐น๐ฟ Wizara ya Kilimo