Dear me (@1strant) 's Twitter Profile
Dear me

@1strant

A father of 1 child. Inspirational tips, courageous posts, confidence booster, focus restarter. God believer

ID: 1212484092995854336

calendar_today01-01-2020 21:22:18

4,4K Tweet

289 Followers

792 Following

GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

Taarifa ya BBC inaeleza Kwamba Huko Nchini NEPAL vijana yani Gen-Z walichoshwa na Ubadhirifu wa Mali za Umma Rushwa, na kila walipojaribu Kusema kwa Maneno Serikali iliwapuuza. Mambo yanayotokea Nepal Kuanzia Juzi, Jana na Leo ni Matokeo ya Kibri kwa MTAWALA. Vijana Wameuasha.

Taarifa ya BBC inaeleza Kwamba Huko Nchini NEPAL vijana yani Gen-Z walichoshwa na Ubadhirifu wa Mali za Umma Rushwa, na kila walipojaribu Kusema kwa Maneno Serikali iliwapuuza.

Mambo yanayotokea Nepal Kuanzia Juzi, Jana na Leo ni Matokeo ya Kibri kwa MTAWALA.

Vijana Wameuasha.
Amb. Humphrey H Polepole (@polepolehumph) 's Twitter Profile Photo

Huyu kachochoe kuendelea kwa Utekaji, kwa kupuuzia habari utekaji bungeni kwasabu anajua wahusika ni Abdul na Jeshi lake, huyu ni project ya kina Kikwete. Ataenda jela siku ya kwanza tunapata ushindi.

Huyu kachochoe kuendelea kwa Utekaji, kwa kupuuzia habari utekaji bungeni kwasabu anajua wahusika ni Abdul na Jeshi lake,

huyu ni project ya kina Kikwete.

Ataenda jela siku ya kwanza tunapata ushindi.
(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Inasemekana huu moto ni mke wa Waziri Mkuu wa Nepal akichomwa mzima mpaka kufa. Hiki ndicho kinachotokea washenzi wachache wanapoamua kunajisi madaraka na kuulazimisha umma kuishi kama watumwa kwenye nchi yao wenyewe. Tanzania tunasogezwa huku kila kukicha kwa ubinafsi wa

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Nyie CRDB Bank PLC 🙄 Someni huu ujumbe hebu toeni ufafanuzi! Wateja kadhaa wamelalamika humu kuwa pesa zao zimepotea akiwemo mtu wawatu Hebu tuelelezeni vizuri kuna nini? Watu wanakuta pesa zime-disappear baada ya matengenezo - how? 😳

Nyie <a href="/CRDBBankPlc/">CRDB Bank PLC</a> 🙄
Someni huu ujumbe hebu toeni ufafanuzi!
Wateja kadhaa wamelalamika humu kuwa pesa zao zimepotea akiwemo <a href="/JohnMbura2/">mtu wawatu</a> 
Hebu tuelelezeni vizuri kuna nini?
Watu wanakuta pesa zime-disappear baada ya matengenezo - how? 😳
Dr Lwaitama (@lwaitama1) 's Twitter Profile Photo

Kumshika Tundu Lissu ukamweka kizuizini bila kosa ni hatari kama vile kusafiri na Mwili wa Osama bin laden akiwa ameuwawa na unakatiza Yemen 🇾🇪 Nimeipenda Nukuu ya hawa vijana

Kumshika Tundu Lissu ukamweka kizuizini bila kosa ni hatari kama vile kusafiri na Mwili wa Osama bin laden akiwa ameuwawa na unakatiza Yemen 🇾🇪

Nimeipenda Nukuu ya hawa vijana
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

HATARI HATARI HATARI. RC , RPC Arusha , pokea TAARIFA hii kuwa kuna gari kubwa limepaki mbele ya njia ngombe ( Maroloni) halina reflector wala taa yoyote kuonyesha dharura ya gari hilo na halionekani kabisa. Mkipuuzia ujumbe huu , tunaweza kukutana na habari mbaya sana. Nina

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

‼️TAHADHARI‼️ Kama wewe ni Mwanaharakati au huwa unakosoa Serikali ya Idd Amin Mama ukitaka kusafiri epuka kukata Tiketi online hasa kwa kutumia namba yako ya simu maana kwa kufanya ivo kama upo targeted unakuwa umewarahisishia kazi watekaji. Jambo la pili ukikata tiketi ofsini

Wolf Brief (@wolfbrief_) 's Twitter Profile Photo

🇳🇵❗NEPALl: Former First Lady Rabi Laxmi Chitrakar survived this beating and is recovering at the hospital. She allegedly tried bribing protestors with $1 million.

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️#NepoKids à la Tanzanie? ⁉️ According to Mange Kimambi in vidro 1 this is the daughter of #Tanzania intelligence chief Mombo filmed by her brother showing off hundreds of thousands of dollars in cash! Suleiman Mombo has been accused by several critics of corruption and

Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

Mtu kabeba milion 800 kwenye manyonyo halafu kaka ake anamwambia atumie akimaliza atafata zingine, naskia anashinda Wavuvi huyo mtoto wa Mkuu wa Usalama wa taifa. 29 Oct Tukutane nimevurugwaaa sana

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Imewachukua vyombo vya dola vya USA siku mbili kumkamata mtu aliemshambulia Charlie Kirk kwa risasi. Kwenye Nchi kubwa na yenye watu milioni 340. Tuna Nchi hapa mbunge alipigwa risasi mwaka 2017. Watu wanatekwa usiku na mchana. Mzee Kibao amechukuliwa kwenye basi mchana,

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Vituo vya polisi vimegeuzwa sehemu za kutesea wanachama wetu. Hivi karibuni walikamatwa wanachama Mwanza, Moshi na Mbeya. Wakiwakamata wanawashikilia kwa siku tatu, nne au tano kinyume cha utaratibu wa sheria. Leo siku ya pili Lucy Shayo analala kituo cha polisi, Kama ana

Vituo vya polisi vimegeuzwa sehemu za kutesea wanachama wetu.

Hivi karibuni walikamatwa wanachama Mwanza, Moshi na Mbeya.

Wakiwakamata wanawashikilia kwa siku tatu, nne au tano  kinyume cha utaratibu wa sheria.

Leo siku ya pili Lucy Shayo analala kituo cha polisi, Kama ana
NYANI MZEE (@jwise017) 's Twitter Profile Photo

PESA ambayo wewe na kizazi chako pamoja na ukoo wenu wote mnaweza msiipate hata mpewe karne nzima kuna watoto wa VIGOGO wanaamka nayo, wanapiga nayo picha na kwenda nayo bar kulewa. Maisha kumanyoko!!!

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Tundu Antiphas Mughwai Lissu. Waswahili wanasema, ukitaka kuujua urefu wa mnara, kaa nao mbali. Ukiwa karibu na mnara, unaona ni machuma tu yamesimama. Huwezi kuelewa urefu wake kama ukiwa karibu yake, kaa kwa mbali, utaona.. Pengine kwa kuwa huyu Tundu A.M Lissu tupo nae

Tundu Antiphas Mughwai Lissu.

Waswahili wanasema, ukitaka kuujua urefu wa mnara, kaa nao mbali. Ukiwa karibu na mnara, unaona ni machuma tu yamesimama. Huwezi kuelewa urefu wake kama ukiwa karibu yake, kaa kwa mbali, utaona..

Pengine kwa kuwa huyu Tundu A.M Lissu tupo nae